ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MPANGO MKAKATI WA LISHE WAZINDULIWA NCHINI

Mara, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Dec 7, 2022
in HABARI
0
MPANGO MKAKATI WA LISHE WAZINDULIWA NCHINI
0
SHARES
27
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

May be an image of 7 people and people standingWaziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima auzindua mpango mkakati wa sekta binafsi katika kutekeleza masuala ya chakula na lishe, wakati alipomwakilisha Waziri Mkuu mhe. Kassim Majaliwa katika mkutano mkuu wa 8 wa mwaka wa masuala ya chakula na lishe, uliofanyika mkoani Mara Disemba 06, 2022

ADVERTISEMENT

May be an image of 2 people

RelatedPosts

SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

Jan 26, 2023

SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

Jan 26, 2023

KATEKISTA ADAIWA KUBAKA MWANAFUNZI

Jan 24, 2023
Load More

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza katika uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Lishe.

NUKUU ZA MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MB.), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA NANE WA WADAU WA LISHE
06 DESEMBA 2022, MARA ALIPO WAKILISHWA NA DKT. DOROTHY GWAJIMA
“OR-TAMISEMI ihakikishe Mikataba ya Lishe kati ya Mheshimiwa Rais na Wakuu wa Mikoa inaendelea kuboreshwa kwa kuingiza viashiria vitakavyosaidia kuongeza uwajibikaji wa sekta nyingine na kutoa taarifa.
“OR – TAMISEMI iendelee kusimamia Sekretarieti za Mikoa na Serikali za Mitaa kuhakikisha zinatenga kiasi cha shilingi 1,000 kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitano na kuhakikisha fedha hizo zinatolewa kwa wakati na kutumika kwa malengo kusudiwa. “
“Mikoa na Halmashauri zitumie vizuri Mwongozo wa Kitaifa wa Utoaji wa Huduma ya Chakula na Lishe kwa Wanafunzi wa Elimu ya Msingi na kuhakikisha utekelezaji wa mpango huo unajumishwa ndani ya mipango na bajeti kila mwaka na afua zilizoainishwa zitengewa fedha za kutosha”
“Sekta binafsi ziongeze kasi ya uwekezaji wa uzalishaji wa vyakula vilivyorutubishwa pamoja na kuwekeza katika kuzalisha virutubishi nchini ili kupunguza gharama kubwa ya uagizaji wa virutubishi hivyo kutoka nje ya nchi.
“Taasisi za elimu ya juu ziendelee na tafiti za masuala ya lishe pamoja na kuhakikisha zinatumila kuboresha sera na mikakati yetu kwa kuelekeza afua bora zaidi za kimkakati za kupambana na utapiamlo”
“Watendaji wakuu wote katika Wizara husika, Idara, Wakala na Taasisi za Serikali ziendelee kufanya tathmini za utekelezaji wa Mpango wa Pili Jumuishi wa Kitaifa wa Masuala ya Lishe hususan afua zilizoainishwa katika mpango”
“Wadau wa maendeleo hakikisheni miradi inayoandaliwa inagusa wananchi moja kwa moja na kuhakikisha uwekezaji unafanyika kwenye Mikoa yenye changamoto kubwa ya lishe pamoja na ile yenye wadau wachache ili kupanua wigo wa utoaji wa huduma za lishe na kuongezeka kwa uwiano wa watu wanaonufaika na huduma hizo”.
MWISHO
ADVERTISEMENT

Related

Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi
HABARI

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI
HABARI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’
HABARI

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

by I am Krantz
Jan 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI
HABARI

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
« Nov   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In