ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

NMB MASTABATA YAZIDI KUMWAGA PESA , ZAIDI YA MILIONI 117 ZATOLEWA

I am Krantz by I am Krantz
Dec 30, 2022
in BIASHARA
0
NMB MASTABATA YAZIDI KUMWAGA PESA , ZAIDI YA MILIONI 117 ZATOLEWA
0
SHARES
23
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

Feb 5, 2023

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

Feb 5, 2023

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

Feb 5, 2023
Load More

Msimu huu wa sikukuu, Blue Santa kutoka Benki ya NMB yupo tayari kukuachia Zawadi za kujidai na mpaka sasa, ameshatoa zaidi ya Sh117 milioni kwa washindi 435 kupitia kampeni yake ya NMB MastaBata KoteKote ambayo inalenga kuhamasisha matumizi Ya Kadi na kuskani QR kufanya malipo Ya matumizi mbalimbali.

Hayo yamesemwa na Meneja wa NMB, Kanda ya Kaskazini Dismas Prosper wakati wa droo ya Sita ya wiki ya kampeni ya NMB MastaBata KoteKote iliyofanyika katika tawi la benki la Nelson Mandela iliyopo katika Manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro.

ADVERTISEMENT

Alisema katika kampeni hiyo, zaidi ya Sh 300 milioni zitatolewa kwa washindi 854 ambapo kila wiki washindi 75 watapokea Sh Laki 1 na mshindi mmoja atashindia pikipiki, washindi 49 wakijinyakulia Sh1 milioni kila mwisho wa mwezi na wawili kujinyakulia pikipiki huku washindi 7 watajishindia tiketi za kusafiri kuelekea Dubai pamoja na wapendwa wao kwa siku 4, safari ambayo itagharamikiwa kila kitu na benki hiyo.


Vile vile, Meneja wa NMB tawi la Nelson Mandela, Roseline Makulukulu alisema washindi hao wanatokana na kutumia NMB mastercard au Lipa mkononi (QR) kufanya malipo kwa kutumia kadi hasa kwenye maeneo ya starehe, migahawa, kwenye maduka makubwa(supermarkets) na maduka ya kawaida.

Naye, mmoja wa washindi wa promosheni hiyo, Martha Minja ambaye alipata zawadi ya pikipiki aliwataka watanzania kuendelea kutumia Kadi zao za NMB mastercard au Lipa mkononi(QR) ili waweze kuingia kwenye droo za kushinda zawadi mbalimbali.

Usikubali mwaka uishe bila kupokea Zawadi kutoka kwa #MastaBataKoteKote! Endelea kufanya matumizi yako na NMB mastercard au Lipa Mkononi (QR) ujiweke kwenye nafasi ya kushinda zawadi ikiwemo; mkwanja, pikipiki au trip ya Dubai!

Mwisho

 

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda
BIASHARA

NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

by I am Krantz
Feb 3, 2023
Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi
BIASHARA

Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

by ALFRED MTEWELE
Feb 3, 2023
TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 100 YA CEMENT UJENZI WA KITUO CHA POLISI KIBURUGWA
BIASHARA

TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 100 YA CEMENT UJENZI WA KITUO CHA POLISI KIBURUGWA

by Ally Hamis Zingizi
Jan 27, 2023
TANZANIA COMMERCIAL BANK YAIPIGA JEKI SEKTA YA ELIMU YATOA MSAADA WA MIFUKO 150 YA CEMENT KUBORESHA MADARASA
BIASHARA

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAIPIGA JEKI SEKTA YA ELIMU YATOA MSAADA WA MIFUKO 150 YA CEMENT KUBORESHA MADARASA

by Ally Hamis Zingizi
Jan 27, 2023
TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 100 YA SARUJI KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI YA KATA YA GOWEKO
BIASHARA

TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 100 YA SARUJI KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI YA KATA YA GOWEKO

by Ally Hamis Zingizi
Jan 27, 2023
Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’
BIASHARA

Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

by ALFRED MTEWELE
Jan 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
« Nov   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In