ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

SERIKALI YADHAMIRIA KUTOKOMEZA KABISA MALARIA IFIKAPO 2030

Dodoma, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Dec 7, 2022
in HABARI
0
SERIKALI YADHAMIRIA KUTOKOMEZA KABISA MALARIA IFIKAPO 2030
0
SHARES
43
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

PROF. MAKUBI ATAKA WANANCHI WAJUE UMUHIMU WA CHANJO

PROF. MAKUBI ATAKA WANANCHI WAJUE UMUHIMU WA CHANJO

Feb 2, 2023

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

Jan 30, 2023

BILIONI 1.3 ZATENGWA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA KATA YA ORKOLILI

Jan 24, 2023
Load More
May be an image of 1 person, sitting and indoor
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amekutana na kufanya mazungumzo na Mratibu wa Malaria wa Dunia kutoka Marekani Dkt. David Walton aliyeambatana na wajumbe kutoka CDC, USAID na PMI.
Kikao hicho kimefanyika ofisi za Wizara ya Afya Jijini Dodoma, kimehudhuriwa na Wataalamu kutoka mpango wa Taifa wa kupambana dhidi ya ugonjwa wa Malaria, kwa pamoja wamekubaliana kushirikiana katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo ili kuutokemeza kabisa ifikapo 2030.
Kwa niaba ya Serikali Dkt. Mollel ameshukuru mpango wa Rais wa Marekani wa mapambano dhidi ya ugonjwa wa Malaria (PMI) kwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika mapambano dhidi ya Malaria na kufanikiwa kupunguza ugonjwa huo kutoka 15% mwaka 2015 mpaka 7.5% mwaka huu.
Amesema, mikoa ambayo bado inaongoza kwa kiwango kikubwa cha ugonjwa huo ni pamoja na Katavi, Kigoma, Ruvuma, Geita, Mtwara, Lindi na Kagera, huku akitoa wito kwa Wadau kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutekeleza afua za mapambano dhidi ya ugonjwa wa Malaria ili kuutokemeza.
May be an image of 4 people, people sitting, people standing and indoor
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: Wizara ya Afya
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA
HABARI

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO
HABARI

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA
HABARI

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20
HABARI

IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
MANGE KIMAMBI AMCHANA  HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’
HABARI

MANGE KIMAMBI AMCHANA HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER
HABARI

NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
« Nov   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In