ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TANGA CEMENT YA TWAA TUZO NBAA MWAKA WA SITA MFULULIZO

Ally Hamis Zingizi by Ally Hamis Zingizi
Dec 2, 2022
in BIASHARA
0
TANGA CEMENT YA TWAA TUZO NBAA MWAKA WA SITA MFULULIZO
0
SHARES
46
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mkuu wa Divisheni ya Fedha wa Kampuni ya Tanga Cement PLC, Pieter de Jager (kulia), akiwa katikapicha ya pamoja na Maofisa wengine wa kampuni hiyo wakiwa wameshika Tuzo walizoshinda katika hafla ya utoaji tuzo wa Uwaandaaji na Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Hesabu zilizotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na wakaguzi wa Hesabu (NBAA), ya mwaka 2021 katika hafla iliyofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Jamal Kassim Ali akikabidhi tuzo ya Mshindi wa kwanza kipengele cha wazalishaji viwandani katika tuzo za uandaaji na uwasilishaji Bora wa Taarifa za Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na wakaguzi wa Hesabu (NBAA), ya mwaka 2021 kwa Mkuu wa Divisheni ya Fedha wa Kampuni ya Tanga Cement PLC, Pieter de Jager katika hafla iliyofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.wengine kulia ni Maofisa wa Tanga Cement

RelatedPosts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

Feb 5, 2023

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

Feb 5, 2023

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

Feb 5, 2023
Load More

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Jamal Kassim Ali akikabidhi tuzo ya mshindi wa jumla katika tuzo za za uandaaji na uwasilishaji Bora wa Taarifa za Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na wakaguzi wa Hesabu (NBAA), mwaka 2021 kwa kwa Mkuu wa wa Fedha wa Kampuni ya Tanga Cement PLC, Isaac Lupokela katika hafla iliyofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Maofisa kutoka Tanga Cement wakiwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2021 (Best Presented Financial Statements for the Year 2021 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) zilizofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Jamali Kassim Ali (kushoto), akikabidhi Tuzo kwa Meneja Mauzo kitaifa wa Kampuni ya Tanga Cement Mhandisi Leslie Masawe wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) ambapo Tanga Cement ilishiriki kwenye maadhimisho hayo jijini Dar es Salaam Novemba 30, 2022


Washindi wa jumla wa tuzo zilizotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu wakati wa utoaji wa tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2021 (Best Presented Financial Statements for the Year 2021 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kwenye hafla iliyofanyika katika Hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.


Washindi wa Kwanza wa tuzo zilizotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu wakati wa utoaji wa tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2021 (Best Presented Financial Statements for the Year 2021 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kwenye hafla iliyofanyika katika Hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.

 ………………………………………………

Normal
0

false
false
false

EN-US
X-NONE
X-NONE

MicrosoftInternetExplorer4

/* Style Definitions */
table.MsoNormalTable
{mso-style-name:”Table Normal”;
mso-tstyle-rowband-size:0;
mso-tstyle-colband-size:0;
mso-style-noshow:yes;
mso-style-priority:99;
mso-style-qformat:yes;
mso-style-parent:””;
mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;
mso-para-margin-top:0in;
mso-para-margin-right:0in;
mso-para-margin-bottom:10.0pt;
mso-para-margin-left:0in;
line-height:115%;
mso-pagination:widow-orphan;
font-size:11.0pt;
font-family:”Calibri”,”sans-serif”;
mso-ascii-font-family:Calibri;
mso-ascii-theme-font:minor-latin;
mso-fareast-font-family:”Times New Roman”;
mso-fareast-theme-font:minor-fareast;
mso-hansi-font-family:Calibri;
mso-hansi-theme-font:minor-latin;
mso-bidi-font-family:”Times New Roman”;
mso-bidi-theme-font:minor-bidi;}

Kampuni
ya Tanga Cement  PLC imeshinda tuzo za
NBAA kwa mwaka wa sita mfululizo
leo imeshinda
 Mshindi wa kwanza kipengele cha wazalishaji
viwandani katika tuzo za uandaaji na uwasilishaji Bora wa Taarifa za Hesabu
zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na wakaguzi wa Hesabu (NBAA), ya mwaka
2021 kwa kufuata viwanga
stahiki.

Katika
hafla ya utoaji wa tuzo hizo iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha NBAAkilichopo
Bunju jijini Dar es Salaam, Tanga Cement  imeibuka na mshindi wa kwanza wa jumla
katika tuzo za uandaaji na
uwasilishaji Bora wa Taarifa za Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya
Wahasibu na wakaguzi wa Hesabu (NBAA), mwaka 2021.

ADVERTISEMENT

Akizungumza
mara baada ya kupokea tuzo hizo,
Mkuu
wa Divisheni ya Fedha wa Kampuni ya Tanga Cement PLC, Pieter de Jager amesema tuzowalizopokea Tanga Cement
zimetokana na kuendelea kutekeleza  miongozo ya uandaaji wa mahesabu iliyowekwa na
kuhakikisha kuwa tunaitekeleza ndani ya Tanga Cement.

 

 “Ni kawaida yetu sisi kama Tanga Cement katika
kutekeleza miongozo iliyowekwa ya waandaaji wa mahesabu hii tunaifurahia,
inatuongezea shauku kubwa ya kuaminika kama wazalishaji bora  viwandani.

ADVERTISEMENT

Tanga
Cement imekuwa ikiibuka na ushindi huu kwa mwaka wa sita sasa mfurulizo hii
inatupa morali yakuendelea kujiamini pia kuendelea kuzalisha mali ghafi ili
watumiaji wetu waendelee kutuamini nakufurahia  bidhaa zetu alisema Pieter.

Aidha,
Mkuu wa wa Fedha
wa Kampuni ya Tanga Cement PLC, Isaac Lupokela  amewataka wadau mbalimbali
kuitumia Tanga Cement  kwani ni vizuri
kutambua kuwa kazi inayofanywa na Tanga Cement ni  nzuri ndio maana hata imeweza kutwaa
ushindi  kwa mwaka wa sita mfululizo
katika kutoa taarifa zake kwa bodi ya wahasibu na wakaguzi wa mahesabu (NBAA).

Kwa
upande wake, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Mheshimiwa Jamali
Kassim Ali ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo amesema.

“Kwa
mujibu wa Sheria, vigezo vyetu vya ndani na vile vya Kimataifa ili kufanya
hesabu zetu ziwe na ubora na watumiaji wake waweze kuzitumia na kufanya maamuzi
yaliyosahihi, hilo ndio jambo kubwa ambalo ningependa kuwaasa viongozi wa
taasisi mbalimbali za Serikali na zile za binafsi”

“Ukweli
ni kwamba nimefurahia kuona washindi walioshinda leo pia niwapongeze kampuni ya
Tanga Cement kwakutwaa tuzo ya jumla kwa wazalishaji bora viwandani kwa mwaka
wa sita mfululizo hii inaonesha kuwa viwanda vyetu vinafanya vizuri katika
uzalishaji pia utoaji wa taarifa za mahesabu.

Hata
ukiangalia kwa mujibu wa idadi ya washiriki wa kila kipengele ni kubwa kwaiyo
hata kumpata mshindi wa kwanza wa pili na watatu inaonyesha kwamba woteni
washindi ila itakuwa ni tofauti ndogo ndogo.

Related

ADVERTISEMENT
Ally Hamis Zingizi

Ally Hamis Zingizi

Related Posts

NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda
BIASHARA

NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

by I am Krantz
Feb 3, 2023
Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi
BIASHARA

Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

by ALFRED MTEWELE
Feb 3, 2023
TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 100 YA CEMENT UJENZI WA KITUO CHA POLISI KIBURUGWA
BIASHARA

TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 100 YA CEMENT UJENZI WA KITUO CHA POLISI KIBURUGWA

by Ally Hamis Zingizi
Jan 27, 2023
TANZANIA COMMERCIAL BANK YAIPIGA JEKI SEKTA YA ELIMU YATOA MSAADA WA MIFUKO 150 YA CEMENT KUBORESHA MADARASA
BIASHARA

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAIPIGA JEKI SEKTA YA ELIMU YATOA MSAADA WA MIFUKO 150 YA CEMENT KUBORESHA MADARASA

by Ally Hamis Zingizi
Jan 27, 2023
TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 100 YA SARUJI KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI YA KATA YA GOWEKO
BIASHARA

TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 100 YA SARUJI KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI YA KATA YA GOWEKO

by Ally Hamis Zingizi
Jan 27, 2023
Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’
BIASHARA

Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

by ALFRED MTEWELE
Jan 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
« Nov   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In