ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Wanafunzi wa Kerege wanufaika na madawati 140 yaliyotolewa na Benki ya Stanbic

I am Krantz by I am Krantz
Dec 5, 2022
in HABARI
0
Wanafunzi wa Kerege wanufaika na madawati 140 yaliyotolewa na Benki ya Stanbic
0
SHARES
25
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Mkuu wa Tehama na operesheni za Benki ya Stanbic, Mussa Ally (Kushoto) akikabidhi moja ya madawati 140 kwa Diwani wa kata ya Kerege Saidi Abdullah Ngatipura (Kulia) kwa ajili ya shule ya sekondari ya Kerege iliyopo Bagamoyo. Hii ni sehemu ya mpango wa benki wa Stanbic Madawati Initative unaoendelea ambao unakusudia kuchangia madawati kwa shule za Serikali mbalimbali nchini. Hafla hiyo ilifuatiwa na upandaji miti, ambao ni sehemu ya kampeni hiyo ukilenga kurejesha mfumo wa ikolojia kwa kupanda mti kwa kila dawati lililotolewa. Pia kwenye picha ni Mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Kerege, Kasika Mateko Kasika (Katikati)
Mkuu wa Tehama na operesheni za Benki ya Stanbic, Mussa Ally akipanda mti katika shule ya sekondari Kerege ambapo benki  ya Stanbic imekabidhi  madawati na miche 140.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mkuu wa Tehama na operesheni za Benki ya Stanbic – Mussa Ally alisema; ‘’Tuna nia kubwa na kampeni yetu ya Stanbic Madawati Initative ambayo hadi sasa imechangia takribani madawati 1000 kwa shule mbalimbali nchin,i tangu ilipozinduliwa. Mchango huu leo ni mwendelezo wa jitihada zetu za kuitikia wito wa serikali wa kuchangia madawati kwa lengo la kumaliza kabisa uhaba wa madawati shuleni. Kupitia mchango huu, Benki ya Stanbic inachochea uundaji wa nguvu kazi ya baadaye ya nchi. Tutaendelea kujitolea kusaidia sekta ya elimu sio tu hapa Wilaya ya Bagamoyo, bali Tanzania nzima.’’

RelatedPosts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

Feb 5, 2023

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

Feb 5, 2023

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

Feb 5, 2023
Load More

Naye Diwani wa kata ya Kerege Saidi Abdullah Ngatipura ameipongeza benki ya Stanbic kwa jitihada zao za kuendelea kusaidia sekta ya elimu na kuwataka wadau wengine kuunga mkono shule nyingine wilayani humo.

Akipokea msaada huo Mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Kerege, Kasika Mateko Kasika alisema kuwa, kupitia msaada huo, wanafunzi wa shule hiyo watakuwa na mazingira bora ya kujifunzia, jambo ambalo anatarajia litaongeza ufaulu wao.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na viongozi wakuu wa wilaya na serikali za mitaa kutoka Wilaya ya Bagamoyo

ADVERTISEMENT

MWISHO.

 

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA
HABARI

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO
HABARI

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA
HABARI

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20
HABARI

IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
MANGE KIMAMBI AMCHANA  HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’
HABARI

MANGE KIMAMBI AMCHANA HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER
HABARI

NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
« Nov   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In