ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

WAZIRI GWAJIMA AZITAKA KAMATI ZA MVOMERO ZIJIPANGE UPYA

Morogoro, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Dec 6, 2022
in HABARI
0
DKT. GWAJIMA-2023 MWAKA WA KUIMARISHA MIFUMO YA USAWA WA KIJINSIA
0
SHARES
43
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

Jan 26, 2023

SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

Jan 26, 2023

KATEKISTA ADAIWA KUBAKA MWANAFUNZI

Jan 24, 2023
Load More
May be an image of 8 people, people standing and outdoors
Wakati Dunia ikielekea ukingoni katika maadhimisho ya Kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amebaini kutojipanga vizuri kwa baadhi ya watendaji katika kushughulikia vitendo vya ukatili hasa katika ngazi za mitaa na vijiji.
Akizungumza na baadhi ya wananchi katika kata ya Dakawa, Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro Desemba 3, 2022 wamemueleza kutopewa elimu kuhusu vitendo vya ukatili tangu kampeni hiyo imeanza tarehe 25 Novemba.
Wananchi hao wamedai kutoijua kamati ya ulinzi wa wanawake na watoto ya kata hiyo ambapo
Waziri Dkt. Gwajima amegundua pia haifuati mwongozo wa uendeshaji wake.
Kufuatia hali hiyo, Waziri Dkt. Gwajima ametoa maelekezo kwa Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya hiyo Sia kuhakikisha kamati hizo zinafuata mwongozo wa uanzishwaji na uendeshaji wake.
Aidha amemtaka kuhakikisha wananchi wanapewa elimu ya kutosha katika siku hizi za Kampeni na baada ya Kampeni kwa kushirikiana na wadau wote wanaohusika na kupinga ukatili wilayani humo.
Waziri Gwajima aliendelea kusisitiza wanaume kujitokeza kushiriki kampeni ya kupinga ukatili kwa nguvu zote.
MWISHO
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA
HABARI

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO
HABARI

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA
HABARI

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20
HABARI

IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
MANGE KIMAMBI AMCHANA  HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’
HABARI

MANGE KIMAMBI AMCHANA HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER
HABARI

NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2022
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
« Nov   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In