ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, February 6, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

DODOMA WAPONGEZWA KWA KUPIGA HATUA KWENYE ELIMU

Dodoma

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Jan 23, 2023
in HABARI
0
DODOMA WAPONGEZWA KWA KUPIGA HATUA KWENYE ELIMU
0
SHARES
16
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

Dkt. Jafo: “Huenda zaidi ya Sh. Trilioni 1 Zikapatikana kwa Mwaka Kutokana na Biashara ya Kaboni”

Dkt. Jafo: “Huenda zaidi ya Sh. Trilioni 1 Zikapatikana kwa Mwaka Kutokana na Biashara ya Kaboni”

Feb 3, 2023

Bilioni 213 za Miradi ya DMDP Zaistawisha Temeke

Feb 2, 2023

DKT. DUGANGE-95% YA ZABUNI ZA TARURA KAZI INAENDELEA

Jan 24, 2023
Load More
May be an image of 4 people and people standingMAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.Philip Isdori Mpango amesema, Mkoa wa Dodoma wamepiga hatua kubwa kwenye ufaulu nchini.
Hayo yamesemwa Januari 20, 2023 kupitia hotuba ya Makamu wa Rais iliyosomwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe.Angellah Kairuki (Mb) katika hafla ya kuufahamisha umma mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita katika Mkoa wa Dodoma.
“Katika eneo la elimu, Mkoa wa Dodoma mmepiga hatua kubwa kwenye ufaulu. Taarifa za Baraza la Mitihani kuhusu ufaulu wa darasa la saba, zinaonesha kuwa Mkoa wa Dodoma uko katika kumi bora kwa ufaulu kitaifa na kwa mara ya kwanza Halmashauri ya Wilaya Bahi imeingia katika halmshauri kumi bora kitaifa.
“Nisisitize kuwa, Mkoa wa Dodoma una nafasi ya kufanya vizuri zaidi. Tuhamasishe upatikanaji wa chakula mashuleni ili wanafunzi wetu watulie na kusoma vizuri,”amesema.
Pia ametaka walimu kupewa ushirikiano, kwani wanafanya kazi kubwa ya kuliandaa taifa la kesho na kuwapa motisha kila wanapofanya vizuri.
“Motisha wapewe sio kwa wale wanaofanya vizuri kitaifa tu, bali hata wale wanaofanya vizuri kimkoa, kiwilaya, na hata katika kata. Serikali itaendelea kuwekakipaumbele cha juu kwa sekta ya Elimu ili watoto wetu wawe Watanzania bora wanaoipenda nchi yao.
“Hapa, nitoe wito kwa kila mzazi kuhakikisha watoto wanaoingia darasa la awali, darasa la kwanza, na kidato cha kwanza wanaripoti shuleni,”amesema Waziri Kairuki kwa niaba ya Makamu wa Rais.
Amesema, Serikali imefanya jitihada kubwa kuboresha miundombinu ya elimu na kuajiri waalimu kwa kiasi kikubwa. “Furaha ya Mheshimiwa Rais wetu ni kuona kila mtoto anaypaswa kusoma yuko shuleni, darasani.
“Tukitekeleza hilo, tutakuwa tumempatia Mhe.Rais malipo tuliyopaswa kumlipa. Niwasihi pia wazazi wote, washiriki katika mikakati mbalimbali na program za kuboresha elimu katika mikoa yenu.
“Ninawata viongozi wa mkoa kutumia fursa ya uwepo wa vyuo vikuu na vyuo vya elimu vilivyoko katika mkoa wa Dodoma kuboresha huduma za kufundisha watoto wetu,”amesisitiza Makamu wa Rais kupitia hotuba iliyosomwa na Waziri Kairuki.
May be an image of 2 people, people standing and indoor
May be an image of one or more people, people sitting and people standing
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: OFISI YA RAIS TAMISEMI
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA
HABARI

DIAMOND KANILIPA MILIONI 17 VIDEO YA ZUWENA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO
HABARI

VIJANA ACHENI KU-BET FANYENI KAZI – CHONGOLO

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA
HABARI

RAIS WA ZAMANI WA PAKISTAN AFARIKI DUNIA

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20
HABARI

IDADI YA WALIOFARIKI AJALI YA TANGA YAONGEZEKA HADI 20

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
MANGE KIMAMBI AMCHANA  HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’
HABARI

MANGE KIMAMBI AMCHANA HAJI MANARA ‘WE NI MTU MZIMA’

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023
NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER
HABARI

NAJUA UCHUNGU WA MTOTO SIWEZI – WOLPER

by Shabani Rapwi
Feb 5, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
January 2023
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Dec   Feb »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In