ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

KATEKISTA ADAIWA KUBAKA MWANAFUNZI

Njombe

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Jan 24, 2023
in HABARI
0
KATEKISTA ADAIWA KUBAKA MWANAFUNZI
0
SHARES
13
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Simon Njavike (43) ambaye ni Katekista wa Kanisa la Roman Catholic Parokia ya Mlangali Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya hiyo akituhumiwa kwa kosa la kumbaka Mwanafunzi wa kidato cha tatu mwenye umri wa miaka 17.

Mwendesha mashtaka Angelo Marco mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Ludewa Isaac Ayengo amesema Mshtakiwa Simon Njavike ambaye ni Mwalimu wa Watoto wa kipaimara akiwemo Binti huyo amekuwa akifanya vizuri katika mafunzo yake ya Kipaimara hivyo katekista alimpa Tsh. 10,000 kama zawadi ya kufanya vizuri kwenye mafunzo hayo.

RelatedPosts

SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

Jan 26, 2023

SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

Jan 26, 2023

GUMZO: MTOTO ADAIWA KUNYONYA MAZIWA YA MAMA YAKE MAREHEMU BILA KUJUA

Jan 19, 2023
Load More

Baada ya siku kadhaa Mshtakiwa alianza kumtaka kimapenzi lakini Binti huyo alikataa ndipo akaanza kudai kurudishiwa TSh. 10,000 yake aliyompa lakini Binti alishindwa kuirudisha kutokana na kutokuwa nayo.

ADVERTISEMENT

Ameeleza kuwa baada ya siku kadhaa Mtuhumiwa alimuita Binti nyuma ya kanisa majira ya mchana ambako kuna msitu na binti alipofika akamkamata kwa nguvu na kuingia nae katika msitu kisha akatimiza lengo lake na kutokomea kusiko julikana.

ADVERTISEMENT

Polisi walifanya jitihada za kumtafuta na baada ya siku kadhaa alikamatwa na kufikishwa Mahakamani ambapo amekana shitaka hilo na kupelekea kesi hiyo kuahirishwa mpaka February 09 mwaka huu.

Related

Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI
HABARI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’
HABARI

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

by I am Krantz
Jan 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI
HABARI

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI  MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA
HABARI

WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
January 2023
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Dec    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In