ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MSICHUNGUZE SIMU ZA WAPENZI WENU

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jan 23, 2023
in HABARI
0
MSICHUNGUZE SIMU ZA WAPENZI WENU
0
SHARES
26
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

Jan 30, 2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

Jan 30, 2023

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

Jan 29, 2023
Load More

 

Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amesema ili kupunguza idadi ya talaka nchini humu lazima raia wa nchi hiyo waache kuchunguza simu za wapenzi wao

 

 

–

ADVERTISEMENT

 

 

Rekodi zinaonyesha kuwa nchi ya Zambia ilirekodi zaidi ya kesi 22,000 za talaka mwaka jana pekee, takwimu ambazo Rais Hichilema alizitaja kuwa za kusikitisha

 

 

–

 

 

Inaelezwa kuwa pamoja na sababu kadhaa ikiwemo Ukosefu wa haki za ndoa, uzinzi, unyanyasaji wa kijinsia kuchangia ongezeko la talaka lakini pia suala la wapenzi kuchunguzana simu zao linachangia talaka nyingi nchini humo

 

 

–

 

 

“Tunaoana kwa ajili ya mapenzi, hatuoi ili kwenda kuangaliana, au kwenda kunyoosheana kidole,” amesema Rais Hichilema

 

ADVERTISEMENT

 

–

 

Takwimu za miezi 12 iliyopita zilionyesha ndoa fupi zaidi nchini humo ilidumu kwa siku 30 huku ndefu zaidi ikiwa ni miaka 65

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’
HABARI

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

by I am Krantz
Jan 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI
HABARI

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI  MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA
HABARI

WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
MTOTO WA SHILOLE APATA DIVISION 1 KIDATO CHA NNE
HABARI

MTOTO WA SHILOLE APATA DIVISION 1 KIDATO CHA NNE

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
January 2023
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Dec    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In