ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

NMB YATOA MSAADA WA MAGORODORO GEREZA LA WILAYA YA CHATO

I am Krantz by I am Krantz
Jan 3, 2023
in BIASHARA, HABARI
0
NMB YATOA MSAADA WA MAGORODORO GEREZA LA WILAYA YA CHATO
0
SHARES
27
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Katika kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya sita katika kuhudumia wananchi, Wafanyakazi wa benki ya NMB kutoka matawi ya Chato na Sengerema wametoa msaada wa magodoro 50 katika gereza la wilaya ya Chato pamoja na kompyuta moja na UPS kwa gereza la Kasungamile wilayani Sengerema .

RelatedPosts

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

Jan 30, 2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

Jan 30, 2023

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

Jan 29, 2023
Load More

Akizungumza wakati wa hafla fupi ya makabidhiano hayo yaliyofanyika katika gereza la Kasungumile wilayani Sengerema, Meneja wa benki ya NMB – Stanley Betty alisema benki ya NMB tawi la Sengerema ilipokea ombi la hitaji ya kompyuta kutoka uongozi wa gereza la Kasungamile na benki yao ikaona ifanikishe ombi hilo.

“Benki yetu ya NMB itaendelea na juhudi mbali mbali za kuunga mkono Serikali ya awamu ya sita katika kuleta maendeleo” alisema Betty.

Amepongeza watumishi wa gereza la Kasungamile kwa kuendelea kutumia huduma za benki ya NMB.

Naye Kaimu Mkuu wa Gereza la Kasungamile – Hiyari Mwaijombe alishukuru sana benki ya NMB kwa msaada wao.

ADVERTISEMENT

“Kompyuta tuliyopewa itaturahishia katika kazi zetu za kila siku ikiwemo kuwaandalia wafungwa rufaa pamoja na mahitaji yao mengine mbali mbali” alisema Mwaijombe.

Aliongezea kuwa inawaomba benki ya NMB iweze kuwasaidia uhitaji wa matenki mawili yenye ujazo wa lita 5000 kwajili ya kutunzia maji katika gereza lao na upatikanaji wa taulo za kike kwa wafungwa sita wanawake waliopo katika gereza la Kasungamile.

Naye, Meneja wa benki ya NMB Wilaya ya Chato – Baraka Nyagwaswa ameshukuru uongozi wa gereza la Chato kwa kupokea msaada wa magodoro 50 kutoka benki ya NMB.

“Kwa hapa Chato sisi ni wenyeji sana na tunajiona wenyeji zaidi kwa kutambua kuwa tunatambulika na kushirikishwa katika masuala muhimu kwa maendeleo,ushirikiano huu ndio unatafanya kuwa benki yenye kujali umuhimu wa masuala ya jamii” alisema Nyagwaswa.

Aliahidi kuwa benki ya NMB itaendelea kuunga mkono juhudi za wadau wake wakubwa katika kuhakikisha kuwa changamoto za jamii zinapatiwa ufumbuzi katika kujenga afya na elimu bora kwa jamii ya Tanzania.

Aidha, Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Chato, Raphael Magesa ameishukuru benki ya NMB na kuwaomba pia Wadau wengine iwasaidie magodoro mengine zaidi, vyakula na sabuni kwani wafungwa na mahabusu wanauhitaji huo.

ADVERTISEMENT

Mwisho

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’
HABARI

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

by I am Krantz
Jan 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI
HABARI

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI  MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA
HABARI

WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
MTOTO WA SHILOLE APATA DIVISION 1 KIDATO CHA NNE
HABARI

MTOTO WA SHILOLE APATA DIVISION 1 KIDATO CHA NNE

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
January 2023
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Dec    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In