ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Serikali YatengaTrilioni 1.5 Kujenga na Kukarabati Shule za Msingi Nchini

Pwani

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Jan 11, 2023
in HABARI
0
Serikali YatengaTrilioni 1.5 Kujenga na Kukarabati Shule za Msingi Nchini
0
SHARES
17
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

DKT. DUGANGE-95% YA ZABUNI ZA TARURA KAZI INAENDELEA

DKT. DUGANGE-95% YA ZABUNI ZA TARURA KAZI INAENDELEA

Jan 24, 2023

Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

Jan 24, 2023

DODOMA WAPONGEZWA KWA KUPIGA HATUA KWENYE ELIMU

Jan 23, 2023
Load More
ADVERTISEMENT
May be an image of 5 people and people standing
Serikali imetenga shilingi Trilioni 1.5 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya shule za msingi zenye uchakavu kupitia mradi wa kuimairisha elimu ya msingi na awali (Boost).
Kauli hiyo ya Serikali imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Angellah Kairuki jana tarehe 10 Januari, 2023 mkoani Pwani wakati akizungumza na Maafisa Elimu Wilaya na Kata, Wakuu wa Shule za Sekondari na Walimu Wakuu wa Shule za Msingi na viongozi wa Elimu ngazi ya Halmashauri wakati wa kikao kazi cha Uboreshaji wa Usimamizi wa Elimumsingi na Sekondari katika viwanja vya shule ya sekondari kibaha.
Waziri Kairuki amesema tathmini ya kina inaendelea kufanyika chini ya Ofisi yake ili kujua uchakavu wa miundombinu ya shule za msingi ambapo baada ya tathmini hiyo kuna shule ambazo zitapata ukarabati mkubwa, ukarabati mdogo na nyingine kuvunjwa kabisa kwa kuwa hazikidhi viwango vya kutolea elimu.
“katika kuimarisha miundombinu ya elimu ya awali na msingi kupitia mradi wa BOOST, tumetenga jumla ya shilingi Trilion 1.15 ambazo zitatumika katika ujenzi na ukarabati wa shule katika kipindi cha miaka 5 na kwa kuanzia kwa mwaka huu wa fedha tutaanza na shilingi Bilioni 259 ” amesema Kairuki.
Aidha, Waziri Kairuki alifanya ziara fupi kujionea ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari Sofu iliyopo Mji wa Kibaha ambayo ujenzi wake umekamilika na wanafunzi wamekwisha anza masomo kidato cha kwanza.
Akitoa salamu za Mkoa, Mkuu wa mkoa wa Pwani Mheshimiwa Abubakar Kunenge amesema mkoa wake ulifanya tathmini na kuona baadhi ya mila za wananchi sio nzuri hasa kwa watoto wa kike ambapo wameanza kuchukua hatua na kuanzisha kampeni za kumuokoa mtoto wa kike ikiwa ni pamoja na wazazi kuwekewa mazingira salama majumbani na shuleni.
Naye Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Elimu Ofisi ya rais TAMISEMI bw. Vicent Kayombo amesema kuwa kikao kazi hicho cha Uboreshaji wa Usimamizi wa Elimumsingi na Sekondari kina lengo la kuweka uelewa wa pamoja ili kuboresha elimu msingi nchini lakini pia Serikali imeendelea kujenga madarasa ya shule za msingi na sekondari kote nchini.
May be an image of 12 people, people standing and outdoors
May be an image of 1 person, standing and outdoors
ADVERTISEMENT

Related

Tags: OFISI YA RAIS TAMISEMI
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI
HABARI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’
HABARI

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

by I am Krantz
Jan 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI
HABARI

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI  MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA
HABARI

WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
January 2023
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Dec    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In