ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
Nchini Afrika Kusini, wafuasi wa chama cha Democratic Alliance (DA), wameandamana jijini Johannesburg, kulalamikia ongezeko la kukatika kwa umeme mara kwa mara nchini humo.
–
Waandamanaji walikwenda katika makao makuu ya chama tawala ANC, wakiwa na mabango yaliyosomeka, imetosha.


