ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

WAWILI WAUAWA NA POLISI KAGERA, WAKUTWA NA MABOMU

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jan 23, 2023
in HABARI
0
WAWILI WAUAWA NA POLISI KAGERA, WAKUTWA NA MABOMU
0
SHARES
15
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

Jan 30, 2023

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

Jan 30, 2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

Jan 30, 2023
Load More

 

Jeshi la polisi mkoani Kagera limewaua watu wawili katika barabara ya Kumunazi – Rulenge wilayani Ngara na kuwakuta wakiwa na bunduki moja AK-47, kibeba risasi (magazini) iliyokuwa na risasi 25 pamoja na mabomu mawilii ya kurusha kwa mkono.

 

 

 

–

 

 

Kamanda wa polisi mkoani Kagera, William Mwampaghale amesema walipata taarifa ya kuwepo kwa watu watatu waliokuwa wakisafiri kwa kutumia pikipiki wakiwa na silaha.

 

 

 

–

 

 

ADVERTISEMENT

 

“Tuliweka mtego katika eneo la Kumunazi na watu hao watatu wakiwa kwenye pikipiki walitokea na walisimamishwa na laikini walikaidi na kugeuza pikipiki kurejea walipotokea”.

 

 

 

–

 

ADVERTISEMENT

 

 

“Waliitwa mara kadhaa na maafisa wa polisi lakini walikaidi na kuwalazimisha polisi kufyatua risasi ambazo ziliwaumiza watu wawili na mmoja aliyekuwa akiendesha pikipiki alifanikiwa kutoroka”.

 

 

 

–

 

 

Ameongeza kamanda Mwampaghale Watu hao wawili waliojeruhiwa na risasi walikutwa wakiwa na bunduki moja AK-47 na kibeba risasi chenye risasi 25 sambamba na mabomu mawili ya kurusha kwa mkono.

 

 

 

 

–

 

 

Miili ya marehemu hao wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 25-30 imehifadhiwa katika hospital ya Nyamihaga wilayani Ngara kwa ajili ya utambuzi na uchunguzi zaidi.

 

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI
HABARI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’
HABARI

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

by I am Krantz
Jan 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI
HABARI

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI  MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA
HABARI

WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
January 2023
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Dec    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In