ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

WAZIRI UMMY AENDELEA KUSISITIZA UMUHIMU WA BIMA YA AFYA

Dar es Salaam

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Jan 23, 2023
in HABARI
0
WAZIRI UMMY AENDELEA KUSISITIZA UMUHIMU WA BIMA YA AFYA
0
SHARES
15
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

Jan 30, 2023

BILIONI 1.3 ZATENGWA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA KATA YA ORKOLILI

Jan 24, 2023

HUDUMA YA KUJIPIMA VVU MAHALA PA KAZI YAANZA

Jan 13, 2023
Load More
Image
Waziri mwenye dhamana ya Afya nchini Tanzania Mh. Ummy Mwalimu ameendeleza jitihada za kusisitiza wananchi kuweza kujiunga na bima kupitia nukuu zake ambazo zinaonesha kwa jinsi gani bima inagusa moja kwa moja katika kujilinda na athari zihusuanazo na afya ambazo zinaweza kujitokeza katika siku za usoni.
“Sisi kama Serikali tunatambua mchango wa Wahariri kusimamia utoaji wa habari na kuelimisha wananchi, lakini pia kukosoa pale inapoonekana inafaa “ Mhe. @ummymwalim, Waziri wa Afya. 
“Nawahimiza Watanzania kuanza kudunduliza ili kujiwekea uhakika wa matibabu kabla ya kuugua kwa kujiunga na mifuko ya bima ya afya. Hautalazimishwa kujiunga na mfuko wa umma lakini unaweza kuchagua mifuko ya bima za binafsi ila kutakua na kitita cha mafao ya msingi”@ummymwalimu

“Sheria hii tunayotunga siyo msaafu wala biblia,endapo huko mbeleni tutaona changamoto tutafanya marekebisho ndiyo maana baadhi ya mambo tunayaweka kwenye kanuni ili iwe rahisi kupokea maoni kutoka kwa wadau na kuyafanyia marekebisho pale ambapo tumeona hapako vizuri”

@ummymwalimu
“Katika kutekeleza Bima ya Afya kwa Wote tunaenda hatua kwa hatua, tunaamini kwamba wachache watakaojiunga wakaona manufaa na faida ya bima ya afya watakua chachu ya kuwashawishi wengine wajiunge lakini pia Serikali itaendelea kuimarisha huduma za afya ili kiwe kishawishi” Ummy
“Tumesema Bima ya Afya kwa wote ni lazima ila hakuna kosa la kisheria hapo, hakuna mtanzania atakamatwa, kuwekwa ndani au kufungwa kwa kukosa Bima ya Afya. Ila tunakwambia ukitaka kupata leseni ya biashara basi uwe na Bima ya Afya.” Waziri @ummymwalimu
“Bima ya afya ni kwa ajili ya kumsaidia Mtanzania hususan masikini, kwa sasa Mtanzania masikini akiumwa atauza mali zake alizonazo ili apate matibabu, wapo wanaouza pikipiki, viwanja ili tu kumudu gharama za matibabu” Mhe.@ummymwalimu, Waziri wa Afya
“Tumekwenda Rwanda, Ghana hizi ni nchi za Afrika. Mfano Rwanda polisi anakusimamisha barabarani anakagua Bima ya Afya ipo wapi, sisi tunauliza bima ya gari tunakagua matairi ila wenzetu wanakagua bima ya afya kwa sababu ni lazima.” Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu.
“Tuna kesi zenye ushahidi watanzania wanauza nyumba zao ili kugharamia matibabu ya mgonjwa, Bima ya Afya ni moja ya sehemu ya kumkomboa mwananchi maskini kwa sababu atapata huduma za matibabu bila ya kikwazo cha fedha.” Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: Wizara ya Afya
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI
HABARI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’
HABARI

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

by I am Krantz
Jan 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI
HABARI

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI  MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA
HABARI

WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
January 2023
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Dec    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In