ADVERTISEMENT
“Mnajua mi sielewi why Manara kapanick Rush kusema hana hela mpaka anaachia maDm ya 2019 na pia sielewi why hata imekuwa issue, mbona huyu msichana alishasema haya maneno mbele ya Haji mwenyewe na Haji akakubaliana nae kabisa?
–
Tena alisema Haji akiwa pembeni yake. Mbona ni karudia tu maneno ambao alishayasema hata kipindi akiwa mke wa Manara? Rushy alikuwa mkweli kuhusu hali ya kipesa ya Manara tangu akiwa mke wake, juzi kafanya kurudi tu yale maneno.
–
Mi hata sijaelewa tatizo liko wapi mpaka Haji apanick mpaka aachie message za kuonyesha Rushy alikuwa muuza ubuyu. Kwangu mimi naona ile text kama imempaisha kwa age yake alifikiria jinsi ya kujikwamua na umaskini na sio kujitongozesha, yeye Haji mwenyewe ndo alitake advantage ya msichana mdogo maskini aliekuwa na big ideas akaamua kumuoa.
–
Kakangu Manara we ni mtu mzima sana kwa haka katoto, usikubali kakupeleke puta hivi, umekonda mnoooo. We kubaliana na hali u move on. Ila wanaume siku hizi kwenye kuachika wamekuwa wagumu mnooo…”
ADVERTISEMENT