ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, April 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MBUNGE ATAKA KAMPUNI ZA MAWASILIANO ZIFIDIE WATEJA

Dodoma

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Feb 6, 2023
in HABARI
0
MBUNGE ATAKA KAMPUNI ZA MAWASILIANO ZIFIDIE WATEJA
0
SHARES
15
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Mbunge Rehema Migilla ampa makavu Waziri Mwijage, “uongo mtupu” - YouTube Mbunge wa Ulyankulu (CCM), Rehema Migilla ametaka kampuni za simu katika jimbo lake ambayo yamekuwa yakitoa huduma zenye kasi ndogo kuwafidia wananchi.

Akiulizwa Swali lihusianalo na huduma za mawasilano katika kikao cha Bunge leo Februari 6,2023 ametaka Serikali kutolea ufafanuzi zaidi namna inawasaidia wananchi kutokana na adha inayowakumba katika upande wa mawasiliano.

RelatedPosts

Laini Zisizohakikiwa Kufugwa February 13

Laini Zisizohakikiwa Kufugwa February 13

Jan 25, 2023

Yaliojili Mnamo Kurasa za Magazetini leo Octoba 13,2022

Oct 13, 2022

KONGAMANO LINALOUNGANISHA WADAU WA TEHAMA LAFANYIKA NCHINI

Sep 7, 2022
Load More
ADVERTISEMENT

“Je, hizi kampuni za simu ziko tayari kuwafidia hawa wananchi wetu ambao fedha zao zimetumika bila kupata huduma kwa sababu huu ni wizi kama wizi mwingine,”amehoji Rehema.

Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Methew Kundo amesema minara iliyopo katika maeneo hayo katika kata ya Nhwande inauwezo wa 2G pekee yake haijaanza kutoa huduma ya 3G.

Amesema mpango ni kuiboresha kufikia 3G hadi 4G na kwamba wakifikia katika kiwango hicho huduma itaweza kutolewa bila shida yoyote.

Hiyo inalenga zaidi kuwasaidia watumimiaji wa huduma za mawasiliano kufurahia spidi nzuri ya mtandao popote walipo kupitia huduma zinazotolewa na kampuni husika.

ADVERTISEMENT

Related

Tags: WIZARA YA HABARI
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO
HABARI

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI
HABARI

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI
HABARI

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE
HABARI

MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI
HABARI

CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
February 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728  
« Jan   Mar »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In