ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, April 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

Dodoma

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Feb 9, 2023
in HABARI
0
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA
0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

SERIKALI YATANGAZA KUZUKA KWA UGONJWA USIOJULIKANA KAGERA

SERIKALI YATANGAZA KUZUKA KWA UGONJWA USIOJULIKANA KAGERA

Mar 17, 2023

YASTAAJABISHA: VIJANA WANAHITAJI UZA FIGO ZAO

Mar 13, 2023

PROF. MAKUBI ATAKA WANANCHI WAJUE UMUHIMU WA CHANJO

Feb 2, 2023
Load More

Bima ya afya na faida zake - PesatuMuswada wa Bima ya Afya kwa Wote (UHC), ambao ulitakiwa uwasilishwe leo Alhamis 9, 2023 bungeni umekwama kwa mara nyingine.

Awali, ratiba ya Bunge iliyotolewa Januari 30, 2023 ilionesha kuwa muswada huo ulikuwa uwasilishwe bungeni leo kwa hatua zake zote tatu za mchakato wa utungwaji wa sheria.

Muswada huo unakwama wakati ambao, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amekuwa akiunadi kwa wadau wa sekta ya afya wakiwemo viongozi wa dini na waandishi wa habari ili kupata maoni yao kabla ya kuwasilishwa bungeni.

Hii ni mara ya pili kwa muswada huo kukwama tangu usomwe kwa mara ya kwanza bungeni katika mkutano wa nane wa Bunge na kupelekwa katika kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii kwa ajili ya kuchambuliwa.

Mkutano wa tisa wa Bunge, muswada huo ulipangwa kujadiliwa kwa siku moja Novemba 12 mwaka jana lakini ulikwama.

Akitoa ufafanuzi kwa nini haukuwasilishwa muswada huo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson alisema muswada huo ulishindwa kusomwa mara ya pili kwa sababu Serikali na Bunge bado walikuwa wakiendelea na majadiliano.

“Sasa hati hii haitawasilishwa leo mezani kwa sababu Bunge pamoja na Serikali tunaendelea na mashauriano juu ya mambo ambayo hatujaafikiana vizuri,” alisema.

Dk Tulia alisema Bunge lilikuwa likiendelea na mashauriano katika hoja kadhaa ambazo zimeibuliwa na wabunge, wadau mbalimbali waliojitokeza katika kamati na nyingine Serikali.

Hata hivyo, Januari 20, 2023 Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Stanslaus Nyongo alisema kazi ya uchambuzi wa muswada huo ilikuwa imekamilika.

Credit; MWANANCHI

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: Wizara ya Afya
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO
HABARI

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI
HABARI

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI
HABARI

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE
HABARI

MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI
HABARI

CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
February 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728  
« Jan   Mar »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In