ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, April 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SERIKALI YATOA MSIMAMO WATOTO NJITI KUTIBIWA BURE

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
in HABARI
0
SERIKALI YATOA MSIMAMO WATOTO NJITI KUTIBIWA BURE
0
SHARES
20
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

Apr 2, 2023

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

Apr 2, 2023

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

Apr 2, 2023
Load More

 

ADVERTISEMENT

 

Serikali imesisitiza sera ya matibabu bure kwa Watoto wote na hata wale wanaozaliwa kabla ya muda wake (Njiti) mpaka watakapofikisha umri wa miaka mitano.
Naibu waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ameliambia Bunge jijini Dodoma kuwa ni sera ya serikali kuwa Watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano hata wale wanaozaliwa kabla ya muda wao (Njiti) kupatiwa matibabu bila malipo yoyote.
–
Akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Viti Maalum Agnes Hokororo, Dkt. Mollel amewataka wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kusimamia utekelezaji wa sera hiyo kwenye maeneo yao ili Watoto wote wapatiwe matibabu bure.
–
Awali akijibu swali la msingi la Mbunge wa Temeke, Dorothy Kilave aliyetaka kujua mkakati wa serikali kupeleka kwenye hospitali na vituo vya afya vitu muhimu vya kujifungulia kwa kina mama ili wasilazimike kuvinunua wakienda kujifungua, Dkt. Mollel amesema, serikali imeweka sera ya kutoa huduma hizo bure lakini kuna maeneo vinakua havitoshi kutokana na wingi wa akina mama wanaojifungua katika maeneo hayo.
–
Dkt. Mollel amesema serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) wameanza mchakato wa kupeleka vifaa vya kujifungulia kwa kina mama kulingana na wingi wa mahitaji na sio aina ya kituo cha kutolea huduma
ADVERTISEMENT

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO
HABARI

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI
HABARI

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI
HABARI

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE
HABARI

MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI
HABARI

CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
February 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728  
« Jan   Mar »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In