ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, April 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA LAJA NA TUZO ZA WANAMICHEZO BORA

Ally Hamis Zingizi by Ally Hamis Zingizi
Mar 10, 2023
in HABARI, MICHEZO
0
BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA LAJA NA TUZO ZA WANAMICHEZO BORA
0
SHARES
51
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

Apr 2, 2023

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

Apr 2, 2023

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

Apr 2, 2023
Load More
ADVERTISEMENT
 
BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) limeandaa hafla ya  tuzo za wanamichezo bora nchini ambayo imepangwa kufanyika Machi 17 mwaka huu katika Ukumbi wa Mlimani City Dar Es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa Habari Jana Mwenyekiti wa BMT Leordegar Tenga,alisema kuwa lengo ni kutambua,kuongeza  na kuenzi  wanamichezo  na timu za kitanzania zilizofanya  vizuri katika mashindano ya Kimataifa .
Àlisema kuwa hafla hiyo itatumika kutambua mchango  wa wadau  wanaosaidia katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya michezo nchini.
“Baraza limeona sasa ni wakati muafaka kuanza  kutambua  na kuwapongeza wanamichezo na timu za kitanzania  zinazofanya  vizuri katika mashindano mbalimbali ya kimataifa pamoja kuitangaza  nchibyetu kimataifa,” alisema Tenga.
Àlisema tuzo zitatoa tuzo aina tatu ikiwamo wanamichezo waliofanya vizuri katika michezo mbalimbali,timu zilizofanya vizuri  kimataifa ,na mwanamichezo bora wa kiume na kike, mwanamichezo bora mwenye Ulemavu wa kike na kiume , mchezaji bora kutoka  katika skuli  wa kike na kiume.
Alibainisha kuwa vigezo vya kuingia katika tuzo hizo ni pamoja na ushiriki wa kufanya vizuri kimataifa ,Kanda ,Afrika na Dunia.
Kwa upande wake  Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo  Profesa Mkumbukwa  Mtambo,aliomba wanahabari kushiriki katika kuhamasisha jambo hilo.
Àlisema kuwa lengo ni kuhamasisha walioofafanya  vizuri Ili wafanye vizuri zaidi na wasiofanya wafanye vizuri.
ADVERTISEMENT

Related

Ally Hamis Zingizi

Ally Hamis Zingizi

Related Posts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO
HABARI

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI
HABARI

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI
HABARI

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE
HABARI

MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI
HABARI

CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In