ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, April 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

BENKI YA EQUITY YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE KWA KIPAUMBELE CHA SULUHISHO ZA KIDIGITALI KATIKA HUDUMA ZAO ZA BENKI

I am Krantz by I am Krantz
Mar 9, 2023
in HABARI
0
BENKI YA EQUITY YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE KWA KIPAUMBELE CHA SULUHISHO ZA KIDIGITALI KATIKA HUDUMA ZAO ZA BENKI
0
SHARES
25
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya Equity inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa kipaumbele cha suluhisho za kidigitali katika huduma zao za benki kwa wanawake. Kauli mbiu ya kimataifa ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake ya mwaka huu ni “Ubunifu na Teknolojia zinatumika kufikia Usawa wa Kijinsia”.

Mapema mwaka huu, Benki ya Equity ilizindua kampeni yao mpya iliyoitwa “TUMERAHISHA” kwa lengo la kuwafanya wateja wao waweze kupata huduma za benki za kidigitali kwa urahisi zaidi. Ili kurahisisha huduma za benki kwa wanawake, wameanzisha mikopo ya kidigitali ambayo inaondoa haja ya kwenda benki kimwili kupata mikopo. Wamiliki wa akaunti za kikundi pia wanaweza sasa kupata huduma zao kupitia simu zao za mkononi. Aidha, wanatoa mikopo ya kilimo kusaidia wanawake katika kuboresha kilimo chao na kugeuza kuwa biashara yenye faida ili kujiunga kiuchumi.

RelatedPosts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

Apr 2, 2023

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

Apr 2, 2023

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

Apr 2, 2023
Load More

 

Siku ya Kimataifa ya Wanawake ni maadhimisho ya mafanikio ya kijamii, kiuchumi, kitamaduni na kisiasa ya wanawake, pamoja na wito wa kuchukua hatua za kuongeza kasi ya usawa wa kijinsia. Faida za usawa wa kijinsia sio tu kwa wanawake na wasichana bali kwa kila mtu ambaye maisha yake yatabadilika kutokana na dunia yenye usawa.

ADVERTISEMENT

Mwaka huu, lengo kuu ni kusherehekea wanawake na wasichana ambao wamebadilisha teknolojia katika sekta mbalimbali, ikiwemo benki, kote ulimwenguni. Benki ya Equity iko mstari wa mbele katika mapambano ya kuhakikisha huduma zao zote zinadigitilizwa. Wanajivunia kuwa na Mkurugenzi Mtendaji mwanamke, ambayo ni hatua kubwa kwao kama taasisi kuonyesha kwamba wanawake wanaweza kuongoza kwa mifano halisi.

Ni muhimu kuendelea kupigania usawa wa kijinsia wenye manufaa. Kwa muda mrefu, wanawake wameachwa nyuma katika ushiriki wa teknolojia. Tunapaswa kuongeza ushiriki wa wanawake katika teknolojia kwa sababu maendeleo hayawezi kutenganishwa na teknolojia. Benki ya Equity inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake siyo tu kwa kutambua mafanikio ya wanawake bali pia kwa kutoa elimu ya kidigitali kwenye majukwaa mbalimbali.

ADVERTISEMENT

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO
HABARI

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI
HABARI

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI
HABARI

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE
HABARI

MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI
HABARI

CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In