ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, March 22, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

BILIONI 120 KUTATUA KERO YA MAJI NACHINGWEA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Mar 11, 2023
in HABARI
0
BILIONI 120 KUTATUA KERO YA MAJI NACHINGWEA
0
SHARES
24
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

MECHI ZITASIMAMA EPL KUPISHA ‘IFTAR’

MECHI ZITASIMAMA EPL KUPISHA ‘IFTAR’

Mar 21, 2023

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI

Mar 21, 2023

MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA

Mar 21, 2023
Load More
ADVERTISEMENT
MBUNGE wa Jimbo la Nachingwea Dkt. Amandus Chinguile Mkoani Lindi amedhamilia kutatua changamoto za maji na afya kwa wananchi wa Jimbo hilo.
–
Akizungumza wakati wa ziara ya kuwasikiliza wananchi,Dkt. Chinguile alisema kuwa Wananchi wamekuwa wanatafuta maji mbali na maeneo wanayoishi
–
Dkt. Chinguile alisema kuwa lengo ni kuhakikisha anawatua ndoo akina mama wa Jimbo la Nachingwea ili kuwawezesha kufanya shughuli nyingine za kimaendeleo na sio kwenda kutafuta maji mbali au kutumia maji yasiyofaa kwa matumizi ya binadamu
–
Alisema kuwa suala la maji limekuwa likimuumiza kichwa ndio maana akashirikiana na serikali kuhakikisha wanatafuta mradi mkubwa wa kutatua kero hiyo ya wananchi iliyodumu kwa miaka mingi.
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea Dkt. Amandus Chinguile akifurahia jambo na mwananchi wa Jimbo hilo baada ya kusikia neema ya maji kuwa itawafikia.
Dkt. Chinguile alisema mradi wa maji vijiji 21 utasiaidia kumaliza kabisa kero za wananchi kwenye vijiji hivyo ambavyo vimekuwa vinachangamoto toka kuumbwa kwa dunia.
–
Alisema kuwa mradi huo utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 120 kwa vijiji vya Nachingwea na Ruangwa mkoani Lindi ambapo tayari mkandarasi ameshasaini mkataba ambao utatekelezwa kwa muda wa miezi 26.
–
Dkt. Chinguile alimazia kwa kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa ya kimaendeleo anayowaletea wananchi wa Jimbo la Nachingwea na Tanzania kwa ujumla.
–
Na Fredy Mgunda, Nachingwea.
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI
HABARI

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA
HABARI

MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI WATOA MWILI WA MAREHEMU NA KUONDOKA NA SEHEMU ZA SIRI
HABARI

WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI WATOA MWILI WA MAREHEMU NA KUONDOKA NA SEHEMU ZA SIRI

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
BIKIRA JANE APATA MTOTO
HABARI

BIKIRA JANE APATA MTOTO

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
ASKARI ANAYETUHUMIWA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE ASOMEWA MASHTAKA
HABARI

ASKARI ANAYETUHUMIWA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE ASOMEWA MASHTAKA

by ALFRED MTEWELE
Mar 21, 2023
SEVILLA YAMFUTA KAZI KOCHA JORGE SAMPOLI NA KUMTEUA KOCHA HUYO
HABARI

SEVILLA YAMFUTA KAZI KOCHA JORGE SAMPOLI NA KUMTEUA KOCHA HUYO

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Feb    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In