ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, June 5, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

NMB yatoa msaada wa milioni 39 kuimarisha sekta ya afya na elimu Kanda ya Kati

I am Krantz by I am Krantz
Mar 23, 2023
in HABARI
0
NMB yatoa msaada wa milioni 39 kuimarisha sekta ya afya na elimu Kanda ya Kati
0
SHARES
54
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

  Benki ya NMB imetoa msaada vifaa mbalimbali kwa sekta za elimu na afya vyenye thamani ya shilingi milioni 39 kwa Wilaya za Kanda ya Kati zikiwemo Mpwapwa, Kondoa na Chemba ikiwa ni utekelezaji wa sehemu ya dhamira yake ya kurudisha kwa jamii.

Walionufaika katika Wilaya ya Mpwapwa ni pamoja na Shule za Msingi Iyoma na Mpwapwa zilizopokea madawati 100 kwa jumla yenye thamani ya shilingi milioni 10.

RelatedPosts

WAZIRI MCHENGERWA ATOA OFA HII BABU KUBWA KUIPONGEZA YANGA

WAZIRI MCHENGERWA ATOA OFA HII BABU KUBWA KUIPONGEZA YANGA

Jun 5, 2023

SIMBA SC IMEWAHI KUCHEZA FAINALI CAF 1993

Jun 5, 2023

MAKAMU WA RAIS AONGOZA ZOEZI LA USAFI SOKO LA MACHINGA DODOMA, NEMC YAACHIWA MAAGIZO HAYA

Jun 5, 2023
Load More

Walionufaika katika Wilaya ya Kondoa kwa upande mwingine ni pamoja na Hospitali ya Wilaya ya Kondoa ambayo iliyopokea mashuka 200 yenye thamani ya shilingi milioni 6, Shule za Sekondari Bicha, Masange, Kimaha na Dalai zilizopokea meza na viti 50 kila moja vyenye thamani ya shilingi milioni 5 huku Shule ya Msingi Lembo ikipata vifaa vya kuezekea vyenye thamani ya shilingi milioni 5.6.

Kwa upande wa sekta ya afya, benki hiyo pia ilitoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 12.3 katika Hospitali ya Wilaya ya Chemba ambavyo ni pamoja na mashuka 64, vitanda vya kujifungulia vinne, vitanda vya kawaida vya wagonjwa 10, na magodoro 10 miongoni mwa vifaa hivyo kwa lengo la kuasaidia kuimarisha utoaji huduma hospitalini hapo.

Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi msaada huo, Meneja wa Kanda ya Kati wa Benki ya NMB, Nsolo Mlozi alisema msaada huo unathibitisha dhamira ya benki hiyo ya kurudisha kwa jamii inapofanyia kazi na kuongeza kuwa benki hiyo imetenga shilingi bilioni 6.2 kusaidia uwekezaji katika uwekezaji katika miradi mbalimbali ya ya kijamii hususani katika sekta zake za kipaumbele ikijumuisha elimu, afya na dharura mwaka huu.

Wakati wa hafla hiyo Mlozi aliwataka wanufaika wa michango ya benki hiyo kuvitumia vyema vitu vilivyotolewa kwa ajili ya vizazi vijavyo.

Naye, Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Sophia Kizigo wakati akipokea msaada huo kwa niaba ya wilaya yake aliipongeza benki hiyo kwa ukarimu wake na kuongeza kuwa, “msaada huo umekuja wakati muafaka kwetu huku tukijitahidi kuboresha mazingira ya kujifunzia mashuleni,”

ADVERTISEMENT

Kizigo alibainisha kuwa madawati 100 yaliyotolewa na benki katika wilaya yake yatasaidia kwa kiasi kikubwa wanafunzi kujifunza katika mazingira mazuri zaidi.

MWISHO

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

WAZIRI MCHENGERWA ATOA OFA HII BABU KUBWA KUIPONGEZA YANGA
HABARI

WAZIRI MCHENGERWA ATOA OFA HII BABU KUBWA KUIPONGEZA YANGA

by ALFRED MTEWELE
Jun 5, 2023
MAKAMU WA RAIS AONGOZA ZOEZI LA USAFI SOKO LA MACHINGA DODOMA, NEMC YAACHIWA MAAGIZO HAYA
HABARI

MAKAMU WA RAIS AONGOZA ZOEZI LA USAFI SOKO LA MACHINGA DODOMA, NEMC YAACHIWA MAAGIZO HAYA

by ALFRED MTEWELE
Jun 5, 2023
KUNANI MAGAZETINI LEO JUMANNE TAREHE 22 JUNI
HABARI

KURASA ZA MAGAZETINI LEO JUMATATU TAREHE 05 JUNI 2023

by I am Krantz
Jun 5, 2023
UJUE MPANGO MPYA WA VITUO VYA KUCHAJI MAGARI YA UMEME NCHINI
HABARI

UJUE MPANGO MPYA WA VITUO VYA KUCHAJI MAGARI YA UMEME NCHINI

by ALFRED MTEWELE
Jun 4, 2023
Rais Samia Apunguza Tozo Ya Mafuta
HABARI

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awaalika Yanga kwa chakula cha jioni kesho Jumatatu

by I am Krantz
Jun 4, 2023
166 New Job Vacancies at TANAPA
HABARI

166 New Job Vacancies at TANAPA

by ALFRED MTEWELE
Jun 4, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In