ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

TCB YATOA MSAADA WA MABATI KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI BUTIAMA

Ally Hamis Zingizi by Ally Hamis Zingizi
Mar 22, 2023
in BIASHARA
0
TCB YATOA MSAADA WA MABATI KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI BUTIAMA
0
SHARES
93
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Meneja wa Tanzania commercial Bank (TCB), Tawi la Musoma Hagai Gilbert (kulia) akimkabidhi sehemu ya msaada wa mabati 135 yaliyotolewa na Benki hiyo kwa Diwani wa kata ya Kinyari, Mh Mkingi Itagata  kwa ajili ya kusaidia kuendeleza ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Nyamkoma wilayani Butiama.

Maofisa wa Tanzania Commercial Bank wakiongozwa na Meneja Benki
hiyo tawi la Musoma Hagai Gilbert pamoja na uongozi wa kijiji cha Nyamikoma
wakikagua ujenzi wa kituo cha Afya kinachojengwa kwa nguvu za wananchi ambapo
TCB imeguswana kuchangia kwa kutoa msaada wa mabati 135 kwa ajili ya kuendeleza
ujenzi huo

Wananchi
wa kijiji cha
Nyamikoma wilayani Butiama wakisaidia kushusha mabati 135 yaliyotolewa na
Tanzania Commercial Bank (TCB) kwa ajili ya kusaidia kuendeleza ujenzi wa
zahanati.

Tanzania commercial
bank imekabidhi mabati 135 katika kijiji cha Nyamkoma kilichopo wilaya ya
Butiama mkoani Mara kwa dhamira ya kuunga mkono juhudi za serikali katika
juhudi zake za kuhakikisha kila mtanzania anapata huduma ya afya.

Msaada huo ulitolewa
leo katika kijiji cha Nyamkoma kilichopo wilaya ya Butihama mkoani mara na
kupokelewa na Diwani wa kata ya kinyare Mh. Mkingi Itagata.

 

Pamoja ya kuishukuru
Benki ya TCB wakati akipokea msaada huo, Diwani wa kata ya Kinyare Mh Mkingi
Itagata amesema kuwa bado kuna uhitaji ili ujamilisha ujenzi wa kituo cha afya
kwani gharama ya ujenzi ni milioni 150 lakini hadi sasa kiasi walichokusanya ni
milioni 47.

 

“Serikali pamoja na
wazazi tutaongeza nguvu kwenye ujenzi  huu maana wananchi wamekuwa
wakifuata huduma ya afya mbali kidogo na kijijini hapo.” Amesema Mkingi.

 

Akiongea baada ya
kukabidhi msaada huo, Meneja wa Benki ya TCB Tawi la Musoma Gilbert Hagai
aliwasihi wananchi wa kijiji hicho kuwa TCB itaendelea kuunga mkono
juhudi za wananchi wapenda maendeleo na kuhakikisha kuwa benki hiyo inasogea
huduma zake karibu.

 

Aidha  pia
amewapongeza wazazi na uongozi wa kijiji kwa jitihada zao za kuchangia na
kuanza ujenzi wa zahanati hiyo toka mwaka 2017 hii inaonesha kuwa ni kwa namna
gani kumekuwa na uhitaji.

 

“Benki yetu ya
Tanzania Commercial Bank ni mdau mkubwa wa  Maendeleo, kwa kawaida kila
mwaka tunatenga fungu kutoka katika faida yetu kwa ajili ya kurudisha katika
jamii na tunaipa kipaumbele kwani Kuwekeza kwenye Elimu, Afya  na maeneo
mbalimbali tukiwa kama benki tunaamini vitu hivi vyote vinatusiaida kupata wateja
na wafanyakazi wa benki yetu wa baadaye.

 

 Tutaendelea
kuchangia na kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya sita chini ya Rais
wetu Dkt Samia Suluhu Hassani katika kuboresha sekta ya afya kwa kadri
tunavyoweza na tunaahidi kwamba huu si mwisho.” Ameongeza gilbert.

Related

Ally Hamis Zingizi

Ally Hamis Zingizi

Related Posts

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
BENKI YA NMB YAZINDUA HATI FUNGANI YA MUDA WA KATI
BIASHARA

BENKI YA NMB YAZINDUA HATI FUNGANI YA MUDA WA KATI

by SUZO SHUKRANI
Sep 25, 2023
Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
NMB BANK YAZINDUA NURU YANGU SCHOLARSHIP DIRISHA LA PILI
BIASHARA

NMB BANK YAZINDUA NURU YANGU SCHOLARSHIP DIRISHA LA PILI

by SUZO SHUKRANI
Sep 15, 2023
VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAWADHAMINI WAENDESHA BAISKELI WA TWENDE BUTIAMA
BIASHARA

VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAWADHAMINI WAENDESHA BAISKELI WA TWENDE BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Sep 13, 2023
MAVUNDE ABAINISHA DIRA SEKTA YA MADINI KUELEKEA 2030
BIASHARA

MAVUNDE ABAINISHA DIRA SEKTA YA MADINI KUELEKEA 2030

by SUZO SHUKRANI
Sep 12, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

March 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In