ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, April 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

WANAFUNZI 700 WALIOFANYA ULAGHAI KURUDISHWA KWAO INDIA

Canada

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Mar 17, 2023
in HABARI
0
WANAFUNZI 700 WALIOFANYA ULAGHAI KURUDISHWA KWAO INDIA
0
SHARES
17
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

No Content Available
Load More
Immigrants Need Better Protection—From Their Lawyers - WSJ
Wanafunzi 700 raia wa India wanatarajia kurudishwa kwao kutoka Canada baada ya kugundulika kuwa walitumia barua feki za kualikwa Vyuoni ili kupata Viza mnamo mwaka 2018/19.
Watu hao wameshakabidhiwa barua za kufukuzwa nchini Canada kutoka kwa Wakala wa usalama wa mpaka wa Canada (CBSA).
Taarifa kutoka kwenye Vyombo vya habari zinasema kuwa wanafunzi hao waliomba Viza za wanafunzi kupitia kwa ofisi inayotoa huduma za Uhamiaji wa kielimu iliyopo katika mji wa Jalandhar,nchini India.
Kampuni hiyo ilimchaji kila mwanafunzi takribani dola elfu ishirini. Gharama hiyo haikuhusisha gharama za tiketi ya Ndege na amana ya usalama.
Wataalamu wanaeleza kuwa wengi wa wanafunzi hao walikwisha maliza masomo yao na kupata vibali vya kufanyia kazi na wengine kupata uzoefu wa kazi. Wakati wakijaribu kuomba vibali vya kuwa wakazi wa kudumu (Permanent Residents) ndipo walipokutwa na matatizo hayo.
Ulaghai huu wa elimu ni mkubwa na wa kipekee kuwahi kutokea nchini Canada. Wakala mmoja wa elimu mwenye uzoefu wa miaka 10 nchini India ameeleza kuwa mara nyingi ulaghai huo hufanywa kwa kughushi barua za mwaliko kutoka vyuoni na kughushi risiti za malipo ya ada nyaraka ambazo hutumika wakati wa kuomba Viza.
Baada tu ya kuingia Canada, wanafunzi hao hulazimika kwenda kusoma kwenye vyuo vingine kwani huwa hawatambuliki kwenye vyuo walivyotumia kuombea viza.
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: VISA TO CANADA
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO
HABARI

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI
HABARI

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI
HABARI

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE
HABARI

MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI
HABARI

CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In