ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, April 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Washindi Wa NMB “MastabataKotekote” WakabidhiwaTiketi Za Kwenda Dubai

I am Krantz by I am Krantz
Mar 9, 2023
in HABARI
0
Washindi Wa NMB “MastabataKotekote” WakabidhiwaTiketi Za Kwenda Dubai
0
SHARES
21
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Mkuu wa Idara ya Kadi Benki ya NMB, Phirbelt Casmir (kushoto)  akikabidhi tiketi za ndege kwa Chintan Kamania na mke wake Kaminy Chudasama pamoja na mtoto wao Eirny Kamania  baada ya kushinda bahati nasibu ya “Mastabatakotekote” aliyojishindia safari ya kwenda Dubai kwa ajili ya mapumziko,  Shindano hilo lilikuwa likiendeshwa na Benki ya NMB kwa wateja wake wanaofanya malipo ya huduma mbalimbali kwa kutumia Master Card ya NMB

Mshindi wa droo ya “MastaBatakotekote”iliyokuwa ikiendeshwa  na Benki  ya NMb Ndugu,John Lubisha ameishukuru Benki hiyo kwa kuweka shindano hilo lililomuwezesha kuwa mshindi wa kwenda Dubai kwa mapumziko.

“Nilifurahi sana baada ya kupokea simu kwamba mimi nimekuwa mshindi, nashukuru Mungu kwa kupata hii nafasi,” amesema John Lubisha.

RelatedPosts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

Apr 2, 2023

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

Apr 2, 2023

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

Apr 2, 2023
Load More

Aidha John ameongeza kwamba alikuwa anatumia kadi ya Nmb ya Mastercard (Kuchanja) kulipia bidhaa mbali mbali na hatimaye ameweza kupata ushindi katika droo hiyo.

Mkuu wa Idara ya Kadi Benki ya NMB, Phirbelt Casmir akizungumza wakati benki hiyo ilipowakabidhi washindi wa bahati nasibu ya “Mastabatakotekote” waliojishindia safari ya kwenda Dubai kwa ajili ya mapumziko.

“Ili kushiriki hizi droo mshiriki anatakiwa kuwa mvumilivu kwa kuendelea kutumia huduma ya kadi( kuchanja) kwa muda mrefu na siku moja anaweza kuwa yeye ndio mshindi,” amesema Lubisha

John amewashauri Watanzania kutumia kadi ya NMB Mastercard kwani ni rahisi lakini pia ni usalama zaidi kwani kutembea na pesa nyingi(Cash) si salama kwakuwa kuna matukio mengi ya kihalifu hata hivyo kutumia Mastercard kuna rahisisha maisha.

Mkuu wa Idara ya Kadi Benki ya NMB, Phirbelt Casmir akikabidhi tiketi za ndege kwa John Lubisha mmoja wa washindi wa  bahati nasibu ya “Mastabatakotekote” aliyojishindia safari yakwenda Dubai kwa ajili ya mapumziko

Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya kadi wa Benki hiyo Bw. Filbert Casmir  amesema washindi hao wa kampeni ya “Mastabatakotekote” iliyoanzishwa mwezi wa kumi 2022 wamekabidhiwa tiketi zao  tarehe 28 Februari 2023.

Washindi hao watalipiwa gharama zote watakazotumia Dubai ikiwa ni pamoja na kutembelea vivutio, hiyo yote ni kurudisha shukurani kwa wateja wa benki hiyo.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Aidha amewashauri Watanzania kuendelea kutumia Mastercard kwani benki hiyo itaendelea kuwa na kampeni mbali mbali zitakazoambatana na zawadi.

                                              Picha ya pamoja ya washindi.

Benki ya NMB ilianzisha kampeni ya “Mastabatakotekote”  ikiwa na malengo mbalimbali ya kuhamasisha wateja wao kutumia Mastercard, kuwajali wateja wao ambapo washindi waliopatikana wanaenda Dubai kwa mapumziko.

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO
HABARI

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI
HABARI

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI
HABARI

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE
HABARI

MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI
HABARI

CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In