ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, March 22, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

YASTAAJABISHA: VIJANA WANAHITAJI UZA FIGO ZAO

Dodoma

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Mar 13, 2023
in HABARI
0
YASTAAJABISHA: VIJANA WANAHITAJI UZA FIGO ZAO
0
SHARES
20
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

SERIKALI YATANGAZA KUZUKA KWA UGONJWA USIOJULIKANA KAGERA

SERIKALI YATANGAZA KUZUKA KWA UGONJWA USIOJULIKANA KAGERA

Mar 17, 2023

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

Feb 9, 2023

PROF. MAKUBI ATAKA WANANCHI WAJUE UMUHIMU WA CHANJO

Feb 2, 2023
Load More
Maintaining a Positive Balance on Kidney Disease | Froedtert & MCWMkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Kanda ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma Dkt. Alphonce Chandika amekiri kupokea simu sio chini ya nne kati ya nyingi zinazopigwa kutoka kwa Vijana wanaohitaji kuuza figo zao katika Hospitali hiyo.
Dkt. Chandika amesisitiza kuwa sheria za nchi haziruhusu kuuza viungo vya Binadamu “Wapo vijana wanapiga simu mimi binafsi nimepigiwa na vijana si chini ya wanne baada ya kupata namba yangu nikijua wanauliza huduma za hapa Hospitali kumbe wanataka wauze hivyo tukaona ni vema tutumie wasaa huu kuelimisha Jamii kuwa sheria za nchi haziruhusu biashara za viungo vya Binadamu na kufanya hivyo ni kosa”
Dkt.Chandika amesema hilo leo March 13,2023 Jijini Dodoma kwenye maadhimisho ya mafanikio ya miaka mitano ya upandikizaji figo katika Hospitali hiyo wa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dodoma na Tokushukai Group kutoka Japan.
Amesema kwa kipindi hicho cha miaka mitano Watanzania 33 wamefanikiwa kupandikizwa figo kati ya hao 22 walipandikizwa na Madaktari wa kitanzania.
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

Tags: Wizara ya Afya
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI
HABARI

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA
HABARI

MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI WATOA MWILI WA MAREHEMU NA KUONDOKA NA SEHEMU ZA SIRI
HABARI

WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI WATOA MWILI WA MAREHEMU NA KUONDOKA NA SEHEMU ZA SIRI

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
BIKIRA JANE APATA MTOTO
HABARI

BIKIRA JANE APATA MTOTO

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
ASKARI ANAYETUHUMIWA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE ASOMEWA MASHTAKA
HABARI

ASKARI ANAYETUHUMIWA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE ASOMEWA MASHTAKA

by ALFRED MTEWELE
Mar 21, 2023
SEVILLA YAMFUTA KAZI KOCHA JORGE SAMPOLI NA KUMTEUA KOCHA HUYO
HABARI

SEVILLA YAMFUTA KAZI KOCHA JORGE SAMPOLI NA KUMTEUA KOCHA HUYO

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2023
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Feb    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In