ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, October 5, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Benki ya NMB yakabidhi Madawati 250 yenye jumla ya Thamani ya Mil. 24.9, Kanda ya Ziwa

Mara

MTEWELE ALFRED by MTEWELE ALFRED
Apr 19, 2023
in HABARI
0
Benki ya NMB yakabidhi Madawati 250 yenye jumla ya Thamani ya Mil. 24.9, Kanda ya Ziwa
0
SHARES
183
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

ImageMeneja wa Benki ya NMB Kanda ya Ziwa Baraka Ladslaus (kushoto) amesema wamekabidhi madawati 250 yenye thamani ya Sh. Mil 24.9 kwa shule tano za Mkengwa,Tacho,Nyamusi,Ngasaro,Nyihara zilizopo wilayani Rorya, kusaidia Serikali katika uboreshaji wa miundombinu ya Elimu na kurudisha kwa jamii.

ImageMkuu wa Wilaya ya Rorya Juma Chikoka ameshiriki kukabidhi madawati 50 kati ya Madawati 250 ambayo yametolewa na Bank ya @NMBTanzania kwa shule Tano zilizopo wilayani humo kwa lengo la kusaidia kupunguza changamoto ya watoto kukaa chini na kuboresha ufaulu wao’

RelatedPosts

2 Job Vacancies at NMB Bank PLC

2 Job Vacancies at NMB Bank PLC

Jul 30, 2023

NMB Yatarajia Kusajili na Kutoa Kadi za Uanachama wa Yanga Kuanzia Julai 10 Mwaka Huu

Jul 8, 2023

Relationship Manager; Consumer Liabilities Job Vacancy at NMB Bank PLC

Jun 17, 2023
Load More
“Tuwashukuru@NMBTanzania sisi watu wa Rorya kutuwezesha kufikia lengo letu la mapambano ya kukabiliana na ufaulu mbovu, niwaombe walimu na Wanafunzi kutumia misaaada hii kama chachu ya kuongeza ufaulu wenu”Juma Chikoka Mkuu wa Wilaya ya Rorya.
Image

Related

Tags: NMB BANK
MTEWELE ALFRED

MTEWELE ALFRED

Related Posts

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI
HABARI

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA
HABARI

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU
HABARI

WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
‘KUWE NA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO’
HABARI

‘KUWE NA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO’

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
TET YAWASILISHA RASIMU ZA MITAALA MIPYA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI
HABARI

TET YAWASILISHA RASIMU ZA MITAALA MIPYA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
BEI Y MAFUTA YAPANDA TENA NCHINI
BIASHARA

BEI Y MAFUTA YAPANDA TENA NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

April 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In