ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, October 5, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

DAWA HII YA KIKOHOZI USITUMIE INA SUMU

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 27, 2023
in HABARI
0
DAWA HII YA KIKOHOZI USITUMIE INA SUMU
0
SHARES
117
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Shirika la Afya Duniani (WHO), limetoa tahadhari kuhusu dawa ya Kikohozi “Guaifenesin TG SYRUP” ambayo imekutwa katika Visiwa vya Marshall na nchini Micronesia katika Bahari ya Pasifiki.

 

RelatedPosts

TANZANIA KUTOA DOZI YA PILI YA CHANJO YA POLIO (IPV2)

TANZANIA YATOA MKONO WA USHIRIKIANO KWA BOTSWANA KATIKA SEKTA YA AFYA

Sep 1, 2023

WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO

May 31, 2023

HOMA YA DENGUE YAIBUKA KWA KASI SUDAN

Mar 31, 2023
Load More

 

–

 

 

 

Dawa hiyo imetengenezwa na kampuni ya QP Pharmachem Ltd ya Punjab, India.

 

 

 

–

 

 

WHO imesema kuwa vipimo vya dawa hiyo vimeonyesha kiasi cha kemikali za diethylene glycol na ethylene glycol ambacho hakikubaliki. Kemikali hizo ni sumu kwa binadamu na zinaweza kusababisha kifo.

 

 

 

–

 

 

Tahadhari hii imekuja miezi kadhaa baada ya Shirika hilo kuhusisha dawa zingine za kikohozi zilizotengenezwa India na vifo vya watoto nchini Gambia na Uzbekistan.

 

Related

Tags: Guaifenesin TG SYRUPWHO
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI
HABARI

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA
HABARI

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU
HABARI

WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
‘KUWE NA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO’
HABARI

‘KUWE NA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO’

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
TET YAWASILISHA RASIMU ZA MITAALA MIPYA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI
HABARI

TET YAWASILISHA RASIMU ZA MITAALA MIPYA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
BEI Y MAFUTA YAPANDA TENA NCHINI
BIASHARA

BEI Y MAFUTA YAPANDA TENA NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

April 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In