ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, June 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

EMIRATE YATUA TANZANIA KWA DHARURA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 16, 2023
in HABARI
0
EMIRATE YATUA TANZANIA KWA DHARURA
0
SHARES
124
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 2, 2023

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 2, 2023

Jun 2, 2023

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-

Jun 2, 2023

SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF

Jun 1, 2023
Load More

Ndege kubwa aina ya Airbus A380 mali ya Shirika la ndege la Emirates yenye uwezo wa kubeba abiria 550, imelazimika kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mkoani Dar es Salaam usiku wa Jumamosi ili kuongeza mafuta kwa ajili ya kuendelea na safari.

 

 

 

–

 

 

 

Ndege hiyo iliyobeba abiria 514 imetokea Sao Paulo, Brazil kuelekea Dubai na imelazimika kukwepa njia yake ya kawaida ya kupitia kwenye anga ya Sudan ambayo kwa sasa imefungwa kutokana na mapigano yanayoendelea.

 

 

 

 

–

 

 

 

ADVERTISEMENT

 

ADVERTISEMENT

 

 

Kutokana na kukwepa njia yake ya kawaida safari ya ndege hiyo imekuwa ndefu, hivyo kulazimika kutua Tanzania kwa dharura ili kuongeza mafuta yatakayoisaidia kukamilisha safari yake.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 2, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 2, 2023

by ALFRED MTEWELE
Jun 2, 2023
Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-
HABARI

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-

by I am Krantz
Jun 2, 2023
SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF
HABARI

SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
RAIS DK. MWINYI AZINDUA KAMATI YA KUZUIA UDHALILISHAJI ZANZIBAR
HABARI

RAIS DK. MWINYI AZINDUA KAMATI YA KUZUIA UDHALILISHAJI ZANZIBAR

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
WANAWAKE WAONYWA UNYANYASAJI DHIDI YA WANAUME
HABARI

WANAWAKE WAONYWA UNYANYASAJI DHIDI YA WANAUME

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
JINSI YA KUSAJILI BIASHARA YAKO
HABARI

JINSI YA KUSAJILI BIASHARA YAKO

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In