ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

KUPIGA MUZIKI KWENYE MAKAZI YA WATU JELA MIAKA MIWILI AU FAINI YA MILIONI 10

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 16, 2023
in HABARI
0
KUPIGA MUZIKI KWENYE MAKAZI YA WATU JELA MIAKA MIWILI AU FAINI YA MILIONI 10
0
SHARES
116
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Sep 22, 2023

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

Sep 21, 2023

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

Sep 21, 2023
Load More

 

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amewataka wamiliki wa baa, vyombo vya muziki na kumbi za starene kufuata na kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), ili kuepusha kero ya kelele za muziki kwa wananchi.

 

 

 

–

 

 

 

 

Makalla ameyasema hayo mkoani Dar es Salaam wakati wa mkutano uliohusisha viongozi wa Serikali za mitaa, masoko na wadau wa mazingira.

 

 

 

 

–

 

 

 

 

Amewaelekeza viongozi wa Serikali za Mitaa kuchukua hatua ikiwa ni pamoja na kudhibiti utoaji vibali vya ujenzi wa baa na kumbi za starehe.

 

 

 

 

 

–

 

 

 

 

Mkuu huyo wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kumekuwa na malalamiko kuhusu uvunjaji wa sheria kufuatia ongezeko la baa na kumbi za starehe kwenye makazi ya watu, ikiwa ni pamoja na upigaji muziki usiku kucha, jambo linalowaathiri wananchi.

 

 

 

–

 

 

 

 

Kwa mujibu wa sheria na kanuni za NEMC, adhabu kwa wanaokiuka sheria kwa kupiga muziki kwenye makazi ya watu ni faini ya shilingi Milioni mbili hadi milioni 10, kifungo cha miaka miwili jela au vyote kwa pamoja, na sheria inaruhusu upigaji muziki kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa nne usiku kwa kiwango kilichoruhusiwa.

 

 

 

 

–

 

 

 

 

 

Kwa baa ama nyumba za starehe zinazotoa huduma usiku kucha, nazo zimetakiwa kufuata taratibu ikiwa ni pamoja la kuwa na vibali vinavyowaruhusu kufanya hivyo.

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA
HABARI

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA
HABARI

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA
AFYA

MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST
HABARI

SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO
HABARI

TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

April 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In