ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MSITUMIE VYANDARUA KWENYE BUSTANI – MAJALIWA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 25, 2023
in HABARI
0
MSITUMIE VYANDARUA KWENYE BUSTANI – MAJALIWA
0
SHARES
105
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

WATU 128 WAPATA HUDUMA YA KUPUNGUZA UZITO ULIOPITILIZA

WATU 128 WAPATA HUDUMA YA KUPUNGUZA UZITO ULIOPITILIZA

Aug 2, 2023

FAIDA ZA ULAJI WA PARACHICHI KIAFYA

Aug 1, 2023

MUHIMBILI YAKIDHI VIGEZO KUSHUGHULIKIA DHARURA AFCON 2027

Aug 1, 2023
Load More
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amewakumbusha Watanzania kufanya vipimo mara wanapobaini kuwa na homa, badala ya kujinunulia dawa na kunywa.
–
Waziri Mkuu ameyasema hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.
–
Aidha, amewataka Watanzania kuzingatia njia za kujikinga na ugonjwa Malaria ili kupunguza kiwango cha maambukizi na hivyo kufikia lengo la Serikali la kutokomoza kabisa ugonjwa huo.
“Naomba niwakumbushe Viongozi wa Serikali za Mitaa muhakikishe mnasimamia vyandarua vilivyokusudiwa kutumika kujikinga na Malaria havitumiki kufunikia bustani.” Ameagiza Waziri Mkuu
–
Kwa mujibu wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti na Kutokomeza Malaria, vifo vitokanavyo na Malaria nchini vimepungua kwa asilimia 76 kutoka vifo 6,311 mwaka 2015 hadi vifo 1,502 mwaka 2022 huku waliothibitishwa kuugua Malaria wakipungua kutoka watu milioni 7.7 mwaka 2015 hadi watu milioni 3.5 mwaka 2022.
Nayo maambukizi ya Malaria nchini yamepungua ambapo mwaka 2008 takwimu zilionesha kuwa asilimia 18.1 walikuwa na Malaria ikilinganishwa na takwimu za mwaka 2022 ambapo kiwango kilikuwa asilimia 8.1.
–
Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani kwa mwaka huu ni ‘Wakati wa Kutokomeza Malaria ni Sasa Badilika, Wekeza, Tekeleza – Ziro Malaria inaanza na Mimi’.

Related

Tags: Kassim MajaliwaMpango wa Taifa wa Kudhibiti na Kutokomeza MalariaOFISI YA WAZIRI MKUUWizara ya Afya
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

April 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In