ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SIMBA ALIYETOWEKA MIAKA 19 AONEKANA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 25, 2023
in HABARI
0
SIMBA ALIYETOWEKA MIAKA 19 AONEKANA
0
SHARES
116
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

TETESI; SIMBA SC KUSHUSHA GOLIKIPA HUYU MBRAZIL KUSHIKA NAFASI YA MANULA

TETESI; SIMBA SC KUSHUSHA GOLIKIPA HUYU MBRAZIL KUSHIKA NAFASI YA MANULA

Jun 25, 2023

MO DEWJI AIPONGEZA YANGA BILA HIANA

May 18, 2023

Phiri: Makombe yanakuja, atoa ramani ya kubeba CAF

Jun 19, 2022
Load More
Simba mkubwa aliyetoweka miaka 19 iliyopita katika Hifadhi ya Taifa ya Sena Oura nchini Chad ameoneka, ambapo mara ya mwisho alionekana katika hifadhi hiyo mwaka 2004.
–
Picha ya simba jike ilitolewa na timu ya wahifadhi kutoka Serikali ya Chad na Jumuiya ya Uhifadhi wa Wanyamapori ((WCS) yenye makao makuu yake mjini New York, Marekani hivi karibuni ambayo ilibaini simba huyo ndiye aliyetoweka miaka 19 iliyopita.
–
“Nina hakika hayuko peke yake,” Amesema Mkurugenzi Mtendaji wa WCS – Big Cat Programme, Luke Hunter .Picha hiyo iliyochukuliwa na kamera ya mbali katika eneo lililohifadhiwa mwezi Februari mwaka huu ilitolewa Alhamisi wiki iliyopita.
“Hii inatia moyo sana kwa sababu majike wakuu ndio msingi wa Simba wowote, na sio wazururaji wakubwa: wanakaa katika maeneo ambayo wana mawindo na wako salama kulea watoto wao,” Amesema Dkt. Hunter.
–
Mwaka 2014, Muungano wa Kimataifa wa Uhifadhi wa Viumbe Vilivyo Hatarini ulisema Simba wametoweka katika hifadhi ya Sena Oura.
–
Dkt. Hunter amesema kuna Simba kati ya elfu 22 na elfu 24 waliosalia porini, wengi wao wameainishwa kama jamii ndogo ya Simba wa Kusini Mashariki na Kusini mwa Afrika.

Related

Tags: ChadLuke HunterSena OuraSIMBAWCSWCS - Big Cat Programme
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO
HABARI

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TSO WAZINDUA GALA DINNER
HABARI

TSO WAZINDUA GALA DINNER

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
CHANJO YA MBWA NI MUHIMU
AFYA

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN
HABARI

52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA
HABARI

SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 
HABARI

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 

by I am Krantz
Sep 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

April 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In