ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, June 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SIMBA QUEENS YAKWEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA MKWAWA QUEENS 4-0

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 18, 2023
in HABARI
0
SIMBA QUEENS YAKWEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA MKWAWA QUEENS 4-0
0
SHARES
225
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

MANULA AENDA AFRIKA KUSINI KUTIBIWA NYAMA ZA PAJA

MANULA AENDA AFRIKA KUSINI KUTIBIWA NYAMA ZA PAJA

May 29, 2023

MGUNDA ATOA UJUMBE HUU MZITO KWA ALI KAMWE

May 29, 2023

YANGA YAISHUSHA CHINI SIMBA

May 15, 2023
Load More

 

Simba Queens imeifunga timu ya Mkwawa Queens magoli 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Wanawake #SLWPL uliopigwa kwenye uwanja wa Uhuru,Dar es Salaam.

 

 

 

 

 

–

 

 

 

 

 

Magoli ya Simba katika mchezo huo yamefungwa na Jentrix Shikangwa aliyefunga magoli mawili dakika ya 19′ na dakika ya 31′ , Vivian Corazone dakika ya 80′ na Zainabu Mohamed dakika 90+.

 

 

 

 

 

 

–

 

ADVERTISEMENT

 

 

 

Mara baada ya kufunga magoli mawili katika mchezo wa leo mshambuliaji wa Simba Queeens, Jeatrix Shikangwa anafikisha idadi ya magoli 13 hadi hasa, Wakati Simba Queens wakikwea hadi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Wanawake #SLWPL wakiwa na alama 33 katika michezo 14 waliocheza mpaka sasa.

 

 

ADVERTISEMENT

 

 

 

 

 

–

 

 

 

 

 

Ni tofauti ya alama mbili tu na Jkt Queens waliopo nafasi ya pili wenye alama 31 wakiwa na mchezo mmoja mkono.

Related

Tags: SIMBA QUEENSSIMBA SCYanga SC
ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 2, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 2, 2023

by ALFRED MTEWELE
Jun 2, 2023
Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-
HABARI

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-

by I am Krantz
Jun 2, 2023
SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF
HABARI

SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
RAIS DK. MWINYI AZINDUA KAMATI YA KUZUIA UDHALILISHAJI ZANZIBAR
HABARI

RAIS DK. MWINYI AZINDUA KAMATI YA KUZUIA UDHALILISHAJI ZANZIBAR

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
WANAWAKE WAONYWA UNYANYASAJI DHIDI YA WANAUME
HABARI

WANAWAKE WAONYWA UNYANYASAJI DHIDI YA WANAUME

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
JINSI YA KUSAJILI BIASHARA YAKO
HABARI

JINSI YA KUSAJILI BIASHARA YAKO

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In