ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, June 5, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA KWA KOSA LA KUBAKA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 15, 2023
in HABARI
0
JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA MTOTO WAKE WA MIAKA 13
0
SHARES
24
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

JELA MIAKA 30 BAADA YA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE

JELA MIAKA 30 BAADA YA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE

Apr 19, 2023
Load More

Mahakama ya Mkoa Vuga leo, Mei 15, 2023 imemuhukumu mshtakiwa Jamal Ali Geto mwenye umri wa miaka 23 kutumikia kifungo cha miaka 30 katika Chuo cha Mafunzo na kulipa fidia ya shilingi 500,000 kwa kosa la kubaka.

 

 

 

 

–

 

 

 

 

Akisoma maelezo ya huku hiyo Hakimu wa Mahakama hiyo Taki Abdalla Habibu amesema Mahakama imejiridhisha na Ushahidi uliotolewa Mahakamani na kumtia hatiani mutuhumiwa kwa kosa hilo.

 

 

ADVERTISEMENT

 

ADVERTISEMENT

 

–

 

 

 

 

Awali Mshtakiwa huyo alishatakiwa kwa kosa la kubaka kinyume na kifungu namba 108(1)(2)e na 109(1) cha sheria namba 6/2018.

 

 

 

 

 

–

 

 

 

 

Kesi hiyo ilifunguliwa Mahakamani hapo Novemba 02, 2022 na jumla ya mashahidi sita (6) walitoa Ushahidi wao Mahakamani na kusomwa hukumu hiyo leo.

Related

Tags: Jela miaka 30
ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

WAZIRI MCHENGERWA ATOA OFA HII BABU KUBWA KUIPONGEZA YANGA
HABARI

WAZIRI MCHENGERWA ATOA OFA HII BABU KUBWA KUIPONGEZA YANGA

by ALFRED MTEWELE
Jun 5, 2023
MAKAMU WA RAIS AONGOZA ZOEZI LA USAFI SOKO LA MACHINGA DODOMA, NEMC YAACHIWA MAAGIZO HAYA
HABARI

MAKAMU WA RAIS AONGOZA ZOEZI LA USAFI SOKO LA MACHINGA DODOMA, NEMC YAACHIWA MAAGIZO HAYA

by ALFRED MTEWELE
Jun 5, 2023
KUNANI MAGAZETINI LEO JUMANNE TAREHE 22 JUNI
HABARI

KURASA ZA MAGAZETINI LEO JUMATATU TAREHE 05 JUNI 2023

by I am Krantz
Jun 5, 2023
UJUE MPANGO MPYA WA VITUO VYA KUCHAJI MAGARI YA UMEME NCHINI
HABARI

UJUE MPANGO MPYA WA VITUO VYA KUCHAJI MAGARI YA UMEME NCHINI

by ALFRED MTEWELE
Jun 4, 2023
Rais Samia Apunguza Tozo Ya Mafuta
HABARI

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awaalika Yanga kwa chakula cha jioni kesho Jumatatu

by I am Krantz
Jun 4, 2023
166 New Job Vacancies at TANAPA
HABARI

166 New Job Vacancies at TANAPA

by ALFRED MTEWELE
Jun 4, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2023
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In