Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Bulandya Elikana, akizungumza na wateja wa benki ya NBC wakati wa kuzindua huduma ya NBC Connect kwa kanda ya Ziwa, katika hafla iliyofanyika jijini Mwanza.
Mkuu wa kwa Kitengo cha Wateja wa Kimataifa wa NBC Wilson Nkuzi, akizungumza na wateja wakati wa uzinduzi wa huduma ya NBC Connect kwa kanda ya Ziwa, katika hafla iliyofanyika jijini Mwanza.
Mkuu wa Kitengo cha Kidigitali na Miamala wa benki ya NBC Jimmy Myalize, akiwasilisha mada ya namna ya kufanya miamala kwa njia nafuu na rahisi wakati wa uzinduzi huduma ya NBC Connect kwa kanda ya Ziwa, katika hafla iliyofanyika jijini Mwanza.
Baadhi ya wateja wa benki ya NBC na wadau wa sekta ya fedha wakipiga makofi kuipongeza benki hiyo, wakati wa kuzindua huduma ya NBC Connect kwa kanda ya Ziwa, katika hafla iliyofanyika jijini Mwanza.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Bulandya Elikana (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Kimataifa wa benki ya NBC Wilson Nkuzi wakati wa kuzindua huduma ya NBC Connect kwa kanda ya Ziwa, katika hafla iliyofanyika jijini Mwanza.
Baadhi ya wateja wa benki ya NBC na wadau wa sekta ya fedha wakifuatilia hotuba na mada mbalimbali, wakati wa uzinduzi wa huduma ya NBC Connect kwa kanda ya Ziwa, katika hafla iliyofanyika jijini Mwanza.
👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT
👉Serial & Self-made Entrepreneur
👉Digital media consultant
👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger
👉Startuper of the year 2016 by TOTAL
👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017
👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network
👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021
👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation
👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿
‘
😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊