ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

DART WATAKIWA KUANZA USANIFU WA HUDUMA MAJIJI MAKUBWA

Dodoma

MTEWELE ALFRED by MTEWELE ALFRED
May 15, 2023
in HABARI
0
DART WATAKIWA KUANZA USANIFU WA HUDUMA  MAJIJI MAKUBWA
0
SHARES
131
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

DART YATAJA NAULI MPYA ZA MABASI YAENDAYO HARAKA

DART YATAJA NAULI MPYA ZA MABASI YAENDAYO HARAKA

Jan 16, 2023
Load More
Inaweza kuwa picha ya Watu 14 na watu wanaosomaNAIBU Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.Deogratius Ndejembi ametoa rai kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuanza usanifu wa huduma hiyo kwa ajili ya majiji mengine makubwa likiwepo jiji la Dodoma
Ndejembi ameyasema hayo leo Mei 15, 2023 jijini Dodoma wakati wa kufungua mafunzo elekezi kwa waandishi wa habari juu ya utekelezaji wa mradi wa DART.
Amesema kutokana na majukumu ya wakala huyo ni vyema kuanza mchakato wa kufanya usanifu wa huduma hiyo katika majiji makubwa likiwemo jiji la Dodoma.
“Rai yangu kwa DART ianze kuangalia maenoe mengine kama jiji la Dodoma, mfano kwa sasa TANROADS inaanza ujenzi wa njia nne kutoka Mji wa Serikali hadi katikati ya jiji, hivyo DART mzungumze na TARURA na TANROADS ili kwenye mipango yao waweze kuweka eneo la akiba katikati ya barabara”amesema Ndejembi
Ameendelea kufafanua kua hatua ya kusanifu ikianza mapema itaondoa adha ya kuvunja vunja na kulipa fidia pindi upanuzi wa huduma hii utakapofika kwenye majiji makubwa.
Aidha, Ndejembi amesema Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika Jiji la Dar es Salaam ili kuhakikisha wananchi wanafika katika shughuli zao kwa haraka.
Akielezea utekulezaji wa Mradi wa DART kwa Jiji la Dar-es-salaam Mhe. Ndejembi amesema katika awamu ya kwanza ya mradi Serikali imetumia dola za Marekani milioni 235 wakati awamu ya pili Serikali imetenga dola za Marekani milioni 141 na utekelezaji wake umefikia asilimia 96.
Ndejembi amesema katika awamu ya tatu ya kutoka mjini hadi Gongo la Mboto, Serikali imetenga dola za Marekani milioni 148 na mkandarasi yuko eneo la kazi kuendelea na utekelezaji wa mradi.
Awali, Mkurugenzi wa Utawala, Rasilimali Watu wa DART, Dk Eliphas Mollel alisema Wakala imesaidia sana kuondoa msongamano wa abiria na kuwa kumekuwa na ongezeko la kusafirisha abiria kutoka abiria 50,000 hadi kufikia abiria 200,000 kwa kila siku.
Inaweza kuwa picha ya Watu 9, watu wanaosoma na maandishi yanayosema 'DART'

Related

Tags: DARTDART WATAKIWA KUFANYA USANIAFUMAJIJI MAKUBWA
MTEWELE ALFRED

MTEWELE ALFRED

Related Posts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO
HABARI

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TSO WAZINDUA GALA DINNER
HABARI

TSO WAZINDUA GALA DINNER

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
CHANJO YA MBWA NI MUHIMU
AFYA

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN
HABARI

52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA
HABARI

SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 
HABARI

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 

by I am Krantz
Sep 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

May 2023
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In