ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, June 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

TRA WAZINDUA KAMPENI YA TUWAJIBIKE

I am Krantz by I am Krantz
May 2, 2023
in HABARI
0
TRA WAZINDUA KAMPENI YA TUWAJIBIKE
0
SHARES
42
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-

Jun 2, 2023

Meeting Ladies In Your 30s

Jun 1, 2023

SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF

Jun 1, 2023
Load More

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inapenda kuwataarifu vyombo vyote vya habari nchini na umma kwa ujumla kuwa leo tarehe 02/03/2023 imezindua rasmi kampeni kwa jina la “Tuwajibike”. ambayo itakuwa endelevu kuanzia mwezi mei.

MALENGO YA KAMPENI

  1. kuwakumbusha na kuwasisitiza wauzaji wa bidhaa na watoa huduma nchi nzima kuwajibika kwa kutoa risiti halali ya EFD kila wauzapo bidhaa au kutoa huduma.
  2. kampeni imelenga kuwakumbusha na kuwahamasisha wanunuzi wa bidhaa na huduma kote nchini kuwajibika kudai risiti halali ya EFD pamoja na kuzikagua ili kujiridhisha kuwa inakidhi vigezo vyote muhimu.
  3. kufuatilia wa utoaji wa risiti halali za EFD nchi nzima pamoja na kuchukua hatua kwa wauzaji wasiofata sheria katika utoaji wa risiti halali za EFD zikiwemo: Kutotoa risiti ya EFD, Kutoa risiti yenye mapungufu kama kuwa na kiwango cha chini kulingana na thamani ya halisi ya bidhaa au huduma, Kutumia risiti moja ya kushindikiza mizigo, Kufanya biashara ya kuuza risiti pasipokuwa na baishara yeyote.

Risiti halali ya EFD inatakiwa kukidhi vigezo vikuu 4 ambavyo ni Jina la biashara, tarehe halisi ya mauzo, Kiasi halisi cha pesa kilichonunuliwa bidhaa au huduma Jina au TIN ya mnunuzi au vyote kwa pamoja.

Tunapenda kuwakumbusha kuwa adhabu ya mfanyabiashara atakaebainika kutokutoa risiti halali ya EFD au kufanya udanganyifu atatozwa faini ya shilling 3,000,000 mpaka shilling 4,500,000 au kifungo cha kisichozidi miaka 3 au vyote kwa pamoja.

Kwa Mnunuzi atakaebainika kufanya manunuzi bila ya kudai risiti halali ya EFD atatozwa faini ya shillingi 30,000 mpaka 1,500,000.

WITO

Tunapenda kutoa wito kwa wafanyabishara wote kuwajibika kwa kutoa risiti halali za EFD bila ya kushurutishwa na wanunuzi kudai risiti halali za EFD kwa kila manunuzi watakayoyafanya ili kuepuka usumbufu usio wa lazima na wakati huo huo kuisadia serikali kutumiza malengo yake ya kuwaletea wananchi maendeleo na kukuza uchumi wa nchi yetu.

Pamoja Tunajenga Taifa letu,

Imetolewa na,

ADVERTISEMENT

Idara ya Huduma na Elimu kwa Mlipakodi

 

ADVERTISEMENT

 

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-
HABARI

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-

by I am Krantz
Jun 2, 2023
HABARI

Meeting Ladies In Your 30s

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF
HABARI

SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
RAIS DK. MWINYI AZINDUA KAMATI YA KUZUIA UDHALILISHAJI ZANZIBAR
HABARI

RAIS DK. MWINYI AZINDUA KAMATI YA KUZUIA UDHALILISHAJI ZANZIBAR

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
WANAWAKE WAONYWA UNYANYASAJI DHIDI YA WANAUME
HABARI

WANAWAKE WAONYWA UNYANYASAJI DHIDI YA WANAUME

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
JINSI YA KUSAJILI BIASHARA YAKO
HABARI

JINSI YA KUSAJILI BIASHARA YAKO

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2023
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In