ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO

Uswizi

MTEWELE ALFRED by MTEWELE ALFRED
May 31, 2023
in HABARI
0
WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO
0
SHARES
51
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

ImageKatibu Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. @DrTedros Adhanom Ghebreyesus ameipongeza Tanzania kwa jududi inazoendelea kufizanya katika kupambana na kudhibiti magonjwa ya mlipuko kuingia na kuenea nchini Tanzania.

Dkt. Tendros amesema hayo kwenye kikao maalum na ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Marzui pamoja na viongozi wengine waandamizi wakiwemo Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe, Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu pamoja na wataalam wengine katika Sekta ya Afya.

RelatedPosts

TANZANIA KUTOA DOZI YA PILI YA CHANJO YA POLIO (IPV2)

TANZANIA YATOA MKONO WA USHIRIKIANO KWA BOTSWANA KATIKA SEKTA YA AFYA

Sep 1, 2023

WATU 128 WAPATA HUDUMA YA KUPUNGUZA UZITO ULIOPITILIZA

Aug 2, 2023

FAIDA ZA ULAJI WA PARACHICHI KIAFYA

Aug 1, 2023
Load More

Dkt. Tedros ameipongeza Tanzania kwa mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Marburg na kwa kushirikiana na WHO katika kuimarisha huduma za uchunguzi na udhibiti dhidi ya magonjwa ya mlipuko.

“Tunaendelea kuipongeza Tanzania kwa juhudi zinazoendelea kufanywa na Serikali kwa ushirikiano na WHO katika kuwaendeleza kitaaluma wahudumu wa Afya ngazi ya jamii na kukubaliana kwa pamoja kuboresha huduma za afya ngazi ya msingi ili kuweza kudhibiti magonjwa ya mlipuko katika hatua za awali na kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza” amesema Dkt. Tendros. Tanzania imeungana na nchi nyinginezo wanachama wa Umoja wa Mataifa chini ya Shirika la Afya Duniani kushiriki kikao hiki muhimu cha 76 cha Shirika la Afya Duniani kinachofanyika Geneva, Uswisi.Image

Related

Tags: IKULU MAWASILIANOUNITED REPUBLIC OF TANZANIAWHOWizara ya Afya
MTEWELE ALFRED

MTEWELE ALFRED

Related Posts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO
HABARI

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TSO WAZINDUA GALA DINNER
HABARI

TSO WAZINDUA GALA DINNER

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
CHANJO YA MBWA NI MUHIMU
AFYA

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN
HABARI

52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA
HABARI

SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 
HABARI

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 

by I am Krantz
Sep 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

May 2023
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In