ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MISHAHARA YA VIONGOZI KENYA KUPANDA

Kenya

MTEWELE ALFRED by MTEWELE ALFRED
Jun 30, 2023
in HABARI
0
MISHAHARA YA VIONGOZI KENYA KUPANDA
0
SHARES
46
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Mishahara ya viongozi kadhaa wa Kenya akiwemo Rais William Ruto, Naibu wake, Rigathi Gachagua, makatibu wa baraza la mawaziri na wabunge itaongezeka kuanzia mwezi Julai mwaka huu.

Pendekezo hilo limetolewa na Tume ya Mishahara na Marupurupu (SRC) ambapo viongozi hao wamepangiwa nyongeza ya mishahara ya asilimia 14 kwa wastani katika kipindi cha miaka miwili ijayo.

RelatedPosts

KENYA YASITISHA MTANDAO WA KIFEDHA WA KU-SCAN KUEPUSHA UDUKUZI WA DATA

KENYA YASITISHA MTANDAO WA KIFEDHA WA KU-SCAN KUEPUSHA UDUKUZI WA DATA

Aug 2, 2023

WANAWAKE WANAWALIPA WANAUME WAWAPE MIMBA, KIASI CHA MIL 5.1

Jul 30, 2023

RAIS DK.MWINYI ASEMA ZANZIBAR IKO TAYARI KUPOKEA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA

Jul 29, 2023
Load More

Malipo ya jumla ya kila mwezi ya Rais Ruto yatapanda asilimia 7.1 kutoka asilimia 6.7 ya sasa

Kufuatia hatua hiyo inaelezwa kuwa mshahara wa Rais utaongezwe kutoka Ksh.1,433,750 hadi Ksh.1,650,000 na ule wa naibu rais kutoka Ksh.1,227,188 hadi Ksh.1,402,500.

#EATV Blogsite

#KoncepttvUpdates

Related

Tags: INTERNATIONAL PRKenyaMISHAHARA
MTEWELE ALFRED

MTEWELE ALFRED

Related Posts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA
HABARI

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA
HABARI

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA
AFYA

MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST
HABARI

SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO
HABARI

TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

June 2023
M T W T F S S
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
2627282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In