ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

AJALI YAUA WATU SABA, SABABU YAELEZWA

Songwe

MTEWELE ALFRED by MTEWELE ALFRED
Jul 6, 2023
in HABARI
0
AJALI YAUA WATU SABA, SABABU YAELEZWA
0
SHARES
97
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

ImageWatu saba wamefariki dunia papo hapo na wengine 14 kujeruhiwa kwa ajali iliyohusisha malori  mawili, bajaji na bodaboda katika eneo la Mpakani lililopo Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe.

Akizungumza kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Theopista Mallya amekiri kutokea kwa ajali hiyo majira ya mchana wa Jana Julai 5, 2023, ambapo amesema wote waliofariki ni wanaume.

RelatedPosts

WEZI WA MTANDAONI WAKAMATWA TANGA

WEZI WA MTANDAONI WAKAMATWA TANGA

Jul 21, 2023

HOTELI NNE, NYUMBA MOJA ZAUNGUA MOTO ZANZIBAR

Jul 9, 2023

MWANAFUNZI ESTHER ALIYETOWEKA SHULENI APATIKANA

Jun 23, 2023
Load More

Kamanda Mallya amesema ajali hiyo imehusisha lori moja la IT, bajaji, bodaboda na lori lingine ambalo limepata hitilafu kwenye mfumo wa breki na kuyaparamia magari mengine.

Kamanda Mallya amesema majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Mpakani Tunduma Wilayani Momba.

Cc; Eatv

Related

Tags: AjaliSONGWEwizara ya mambo ya ndani
MTEWELE ALFRED

MTEWELE ALFRED

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

July 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In