ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, October 5, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

KIDUKU AUKOSA MKANDA WA WBF

Dar es salaam

HIJA SELEMANI by HIJA SELEMANI
Jul 29, 2023
in HABARI
0
KIDUKU AUKOSA MKANDA WA WBF
0
SHARES
78
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Kiduku faces Georgian in UBO title bout - Daily News

Ni katika pambano la raundi kumi lililopigwa katika ukumbi wa Malaika hotel jijini Mwanza Twaha Kassim Kiduku dhidi ya Asemahle Welle, ambapo Asemahle Welle aliibuka mshindi kwa mujibu wa majaji. Pambano ambalo lilikuwa na kinyang’anyiro cha mkanda wa mabara WBF katika uzito wa kilo 70  na kumfanya Twaha Kiduku kuukosa mkanda huo.

RelatedPosts

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

Oct 4, 2023

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA

Oct 4, 2023

WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU

Oct 4, 2023
Load More

Licha ya kupoteza mchezo huo, Twaha Kiduku amethibitisha ubora wa mpinzani wake huku akiomba msaha kwa mashabiki wake na watananzania kwa ujumla, kwa kupoteza mchezo.

Huku mapambano mengine yaliyopamba mpambano huo yakiwa ni pamoja na lile la ufunguzi ambalo Ally Ramadhani alishinda dhidi ya Frank Victor, likifuatiwa na pambano ambalo Edgar Laurent alishinda Kwa “majority decision” mbele ya Abdul Rashid, Ayubu Mwankina naye akimlaza na viatu George Busiga, Juma Chamamba akishinda kwa “TKO” dhidi ya James Isihaka.

Katika pambano la tano ambalo lilikuwa la aina yake ambapo Joseph Mchapeni alitumia sekunde 44 tu kumkalisha mpinzani wake Augustino Michael kwa “TKO”, likifuatiwa na pambano la Sebastian Temba na Mohamed Mkude ambapo Temba alipoteza pambano hilo, wakati pambano la kisasi likimkutanisha Juma Misumari dhidi ya Paul Kamata ambapo Juma Misumari akilipa kisasi.

Aidha Karimu Mandonga alipoteza pambano lake dhidi ya Golola Moses kutoka Uganda. Pambano hilo lilikuwa la kipekee kutokana na umaarufu wa Mandonga.
#KonceptTvUpdates
#vitasa

Related

HIJA SELEMANI

HIJA SELEMANI

Related Posts

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI
HABARI

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA
HABARI

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU
HABARI

WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
‘KUWE NA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO’
HABARI

‘KUWE NA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO’

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
TET YAWASILISHA RASIMU ZA MITAALA MIPYA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI
HABARI

TET YAWASILISHA RASIMU ZA MITAALA MIPYA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
BEI Y MAFUTA YAPANDA TENA NCHINI
BIASHARA

BEI Y MAFUTA YAPANDA TENA NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

July 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In