ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Mashindano Gofu Lake Energies Yafana Dar

I am Krantz by I am Krantz
Jul 10, 2023
in HABARI
0
Mashindano Gofu Lake Energies Yafana Dar
0
SHARES
147
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RAIS wa wanawake wacheza gofu nchini (TLGU), Queen Siraki, amesema mashindano ya gofu yaliyofanyika juzi kwenye viwanja  vya Gymkhana ya ‘Lake Energies’  yameongeza hamasa kwa wachezaji wa mchezo huo.

Akizungumza muda mfupi baada ya kumalizika mashindano hayo yaliyoshirikisha wachezaji wa ridhaa, wachezaji wa kulipwa na watoto, Queen alisema ujio wa lake Energies kudhamini mchezo huo umeongeza ushindani kwa wachezaji.

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

“Mashindano haya yameleta ushindani mkubwa sana na tunatamani lake Energies waendelee kutudhamini kwenye mashindano mengine, tumeshuhudia walimu wetu wanaotufundisha hapa Gymkhana wakishindana wenyewe kwa wenyewe na kutoa somo kwa vijana wengi, kiufupi mashindano haya yamefana sana,” alisema Queen.

Kwa upande wake , Mkurugenzi Mtendaji wa Lake Energies, Abdirahman Ahmed, alisema kampuni huiyo itaendelea kusapoti mchezo huo na wanafikiria kudhamini mashindano ya ‘Co-operate’ yanayotarajiwa kufanyia mwezi ujao.

“Nawashukuru wote walioshiriki mashindano haya, sisi kama Lake Energies tutaendelea kusapoti michezo kwa sababu tunaamini michezo inaleta umoja na pia ni namna moja wapo ya kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuinua michezo nchini,” alisema Ahmed.

Katika mashindano hayo kwa upande wa wachezaji wa kulipwa, Frank Mwinuka aliibuka mshindi wa jumla kwa kupata grosi 71na kukabidhiwa zawadi ya pesa shilingi milioni moja akifuatiwa na Salum Dilunga (grosi 73) ambaye alipata Sh, 664,000 wakati nafasi ya tatu ikishikwa na Rodrick John (grosi 74) na kuzawadiwa Sh. 420,000.

Katika mashindano hayo kwa upande wa wachezaji wa kulipwa, Frank Mwinuka aliibuka mshindi wa jumla kwa kupata grosi 71na kukabidhiwa zawadi ya pesa shilingi milioni moja akifuatiwa na Salum Dilunga (grosi 73) ambaye alipata Sh, 664,000 wakati nafasi ya tatu ikishikwa na Rodrick John (grosi 74) na kuzawadiwa Sh. 420,000.

Mbali na fedha hizo, pia washindi walikabidhiwa mitungi ya gesi kutoka kwa kampuni hiyo.

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

July 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In