ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MTANDAO MPYA WA THREADS WAPOROMOKA

Dar es Salaam

MTEWELE ALFRED by MTEWELE ALFRED
Jul 27, 2023
in HABARI
0
MTANDAO MPYA WA THREADS WAPOROMOKA
0
SHARES
34
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Meta unveils Threads, new app to challenge Twitter | PBS NewsHourMnamo julai 5 Mwaka huu Mtandao mpya wa Threads chini ya kampuni ya Meta ulizinduliwa rasmi na huku ukitajwa kuwa  ni mtandao ulioanzishwa kuweza shindanishwa na Mtandao mwingine wa toka hapo zamani Twitter, kwa hapo mwanzo uliteka mamilioni ya watumiaji wapya kuanza lakini baadae imeonekana kushuka katika matumizi yake kwa utofauti mkubwa.

Kwa mujibu wa Jarida la Forbes linaloangazia masuala ya masoko, teknolojia na mawasiliano, limesema mtandao mpya wa Threads umepungua matumizi ya watumiaji wake (Engagement) kwa karibu asilimia 70.

RelatedPosts

MAHAKAMA KUU YAMWAMURU BOCCO KULIPWA MILIONI 200 KWA MATUMIZI YA PICHA YAKE

MAHAKAMA KUU YAMWAMURU BOCCO KULIPWA MILIONI 200 KWA MATUMIZI YA PICHA YAKE

Sep 7, 2023

BENKI YA NBC YAZINDUA LOGO MPYA YA LIGI LA CHAMPIONSHIP

Sep 7, 2023

KITAPIGWA HAPA ALGERIA NA TAIFA STARS

Sep 6, 2023
Load More

Mtandao mpya wa threads umepungua matumizi ya watumiaji wake (Engagement) kwa karibu asilimia 70, jarida la Forbes limebainisha.

Watumiaji wa kila siku wa Threads ni takriban milioni 13 chini kutoka milioni 44 mnamo Julai 7 na wastani wa muda unaotumika kila siku kwenye mtandao huo mpya ni dakika nne, ambayo ni chini kutoka kwa kilele chake cha siku ya uzinduzi cha dakika 19, kulingana na Sensor Tower.

Haya yanajiri baada ya kampuni hiyo kuripoti kuwa ilisajili watu milioni 100 ndani ya wiki moja baada ya kuzinduliwa mnamo Julai 5.

Twitter ina takriban watumiaji milioni 200 wanaotumia kila siku na wastani wa muda unaotumika kila siku kwenye jukwaa ni dakika 30, kulingana na Sensor Tower.

Kwa mtazamo wako wewe unaona wamiliki wa mtandao huo wamekwama wapi hadi kupelekea kutokea kwa changamoto hio?

Cc; Forbes

#Mwananchi

#KoncepttvUpdates

 

Related

Tags: Dar es SalaamINTERNATIONAL PRMETATHREADS
MTEWELE ALFRED

MTEWELE ALFRED

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

July 2023
M T W T F S S
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
31  
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In