Waziri wa Afya Ummy Mwalimu @ummymwalimu amesema Serikali kupitia Wizara ya Afya imempa ajira ya mkataba Mariam Mwakabungu (25) kama sehemu ya kuthamini mchango wake kwa kujitolea kuokoa maisha ya Watoto wachanga (Njiti) waliokimbiwa na Mama zao.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu @ummymwalimu amesema Serikali kupitia Wizara ya Afya imempa ajira ya mkataba Mariam Mwakabungu (25) kama sehemu ya kuthamini mchango wake kwa kujitolea kuokoa maisha ya Watoto wachanga (Njiti) waliokimbiwa na Mama zao.
All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.