ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, October 5, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

ATOROKA KISA KUMJERUHI MTEJA WAKE CHANZO TSH 500

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 30, 2023
in HABARI
0
ATOROKA KISA KUMJERUHI MTEJA WAKE CHANZO TSH 500
0
SHARES
30
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro linamsaka Harid Njianguru mkazi wa Kidatu Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro kwa tuhuma za kumshambulia mteja wake na kusababishia madhara makubwa baada ya kushindwa kulipa kiingilio cha Sh 500 kuangalia mpira kati ya timu ya soka ya Azam FC na Tanzania Prisons kwenye ukumbi wa baa anayomiliki.

RelatedPosts

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

Oct 4, 2023

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA

Oct 4, 2023

WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU

Oct 4, 2023
Load More

 

Hayo yamesemwa na Kamanda wa Polisi mkoa wa morogoro, Alex Mkama na kusema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa Agosti 28, 2023 katika kijiji cha Mkamba Wilaya ya Kilombero baada ya mfanyabiashara huyo kumshambulia Protas Komba (40) kwa kumpiga na kisha kumsukuma na kuangukia kisogo na kupoteza fahamu.

 

Kamanda Mkama amesema Komba alifika baa ya mfanyabiashara huyo ambayo inajulikana kwa jina la‘Kigamboni’ ili kuangalia mchezo huo na kwamba alishindwa kulipa kiingilio cha sh 500 na akawa analazimisha kuingia ndani ya baa.

 

Kamanda Mkama amewaomba wananchi kuwa popote mtuhumiwa huyo atakapoonekana watoe taarifa zake ili aweze kukamatwa kwa sababu hawezi kuwa salama kwa namna yoyote ile.

Mkama alitoa wito kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na badala yake watumie njia zinazokubalika kisheria na kupata haki zao.

 

“Michezo ni burudani na kama mtu anatafuta burudani basi ifanyike namna ya kuweza kufanya mazugumzo kama kuna ulazima ili na yeye aweze kushiriki kwenye burudani, kama haiwezekani basi atumie lugha za staha kuliko mkumzuia na kusababisha kitendo kilichofanyika kilicholeta madhara makubwa.” alisema Mkama

 

 

#KonceptTVUpdates

 

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI
HABARI

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA
HABARI

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU
HABARI

WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
‘KUWE NA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO’
HABARI

‘KUWE NA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO’

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
TET YAWASILISHA RASIMU ZA MITAALA MIPYA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI
HABARI

TET YAWASILISHA RASIMU ZA MITAALA MIPYA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
BEI Y MAFUTA YAPANDA TENA NCHINI
BIASHARA

BEI Y MAFUTA YAPANDA TENA NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In