ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, October 5, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

AZAM FC YASAIDIA KITUO CHA POLISI

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 31, 2023
in MICHEZO
0
AZAM FC YASAIDIA KITUO CHA POLISI
0
SHARES
24
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

 

RelatedPosts

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

Oct 4, 2023

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA

Oct 4, 2023

WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU

Oct 4, 2023
Load More

 

Uongozi wa Klabu ya timu ya mpira wa miguu AZAM FC Agosti 30, 2023 katika Kituo cha Polisi Mbande imekabidhi samani za ofisi kwa ajili ya kufanikisha ufanisi na utendaji kazi wa Polisi kwa lengo lakuisaidia jamii.

Mkuu wa Idara ya habari wa Klabu hiyo Zaka Thabiti amekabidhi meza nne na viti vinne vyenye thamani ya Tshs. 5,000,000 Milioni tano kwa ajili ya Kituo hicho.

Zaka amesema kwamba Jeshi la Polisi limekuwa likitoa mchango mkubwa kwa jamii katika kuhakikisha hali ya ulinzi na usalama inaimarika.

Ameeleza kuwa uhusiano wao na Jeshi la Polisi ni endelevu kwa vile wamekuwa wakishirikiana na Jeshi la Polisi katika kusimamia ulinzi wa michezo mbalimbali inayofanyika kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi na ameahidi kuendeleza ushirikiano na uhusiano mzuri kati ya Klabu hiyo na Jeshi la Polisi.

ACP Kungu Malulu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke ameishukuru Klabu hiyo kwa kuthamini juhudi za Jeshi la Polisi na kutoa Samani za ofisi zitakazosaidia Askari kufanya kazi kwa weledi na kuihudumia jamii.

Amesema vifaa hivyo vimefika muda sahihi kwa vile kituo hicho kinaelekea kufunguliwa rasmi tarehe 01/09/2023 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam SACP Jumanne Mulilo.

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 
HABARI

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 

by I am Krantz
Sep 29, 2023
RAMADHAN BROTHERS WASHIKA NAFASI YA TANO AMERICA GOT TALENT
HABARI

RAMADHAN BROTHERS WASHIKA NAFASI YA TANO AMERICA GOT TALENT

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
MCHEZO WA MWAKINYO MPAKA HIVI SASA MAMBO BADO MAGUMU
HABARI

MCHEZO WA MWAKINYO MPAKA HIVI SASA MAMBO BADO MAGUMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TZ, KENYA NA UGANDA RASMI KUANDAA AFCON 2027
HABARI

TZ, KENYA NA UGANDA RASMI KUANDAA AFCON 2027

by SUZO SHUKRANI
Sep 27, 2023
SIMBA KUWAKOSA WACHEZAJI WATATU MCHEZO WA MARUDIANO
HABARI

SIMBA KUWAKOSA WACHEZAJI WATATU MCHEZO WA MARUDIANO

by SUZO SHUKRANI
Sep 27, 2023
USHINDI WA TWIGA STARS WAMLETA RAIS SAMIA
HABARI

USHINDI WA TWIGA STARS WAMLETA RAIS SAMIA

by SUZO SHUKRANI
Sep 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In