ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

BODABODA HATARINI KUPOTEZA NGUVU ZA KIUME

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 28, 2023
in AFYA
0
BODABODA HATARINI KUPOTEZA NGUVU ZA KIUME
0
SHARES
39
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

DAKTARI Bingwa wa Magonjwa ya Mfumo wa Mkojo na Uzazi wa wanaume katika Hospitali ya Rufani ya Benjamin Mkapa, Remigius Rugakingira, amesema waendesha bodaboda wanaobeba abiria kwa mtindo wa mishikaki na kukalia tangi la mafuta, wako hatarini kupoteza nguvu za kiume.

 

“Kwanza mafuta yenyewe ni kemikali. Tangi linaloyahifadhi hupata joto pikipiki ikitembea kwa muda mrefu, hivyo kwa mwendeshaji kukaa juu yake maana yake hupokea joto hilo kwenye korodani ambayo ni kiwanda cha kuzalisha mbegu za uzazi na vichocheo vinavyochangia uume kusimama,” alisema Dk. Rugakingira

 

Dk. Rugakingira aliyasema hayo jijini Dodoma akieleza kuwa madereva hao wako hatarini kukabiliwa na upungufu wa nguvu za kiume siku za usoni kwa sababu ya kukalia matangi hayo ambayo hupata joto baada ya pikipiki kutembea mwendo mrefu.

Mtaalam huyo analitaja kundi lingine lililo hatarini ni vijana wanaovaa nguo za kubana (skin jeans), na nguo za ndani (boxers) zinazobana korodani kuwa  hawapo salama ikiwa wataendelea na tabia hizo kwa muda mrefu.

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

TZ HUSAJILI WAGONJWA 42,000 WA SARATANI YA MATITI KILA MWAKA
AFYA

TZ HUSAJILI WAGONJWA 42,000 WA SARATANI YA MATITI KILA MWAKA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
CHANJO YA MBWA NI MUHIMU
AFYA

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TANZANIA KUTOKOMEZA KIFUA KIKUU IFIKAPO 2030
AFYA

TANZANIA KUTOKOMEZA KIFUA KIKUU IFIKAPO 2030

by SUZO SHUKRANI
Sep 25, 2023
TANZANIA YASHINDA TUZO YA KUELIMISHA WANANCHI KUHUSU AFYA YA KINYWA NA MENO DUNIANI KWA MWAKA 2023
AFYA

TANZANIA YASHINDA TUZO YA KUELIMISHA WANANCHI KUHUSU AFYA YA KINYWA NA MENO DUNIANI KWA MWAKA 2023

by SUZO SHUKRANI
Sep 25, 2023
MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA
AFYA

MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
TOTO AFYA KADI HAIJAFUTWA KILICHOBADILIKA NI UTARATIBU WA KUWASAJILI
AFYA

TOTO AFYA KADI HAIJAFUTWA KILICHOBADILIKA NI UTARATIBU WA KUWASAJILI

by SUZO SHUKRANI
Sep 19, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In