ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

HALMASHAURI 5 KIKAANGONI FEDHA ZA AFUA ZA LISHE.

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 30, 2023
in AFYA
0
HALMASHAURI 5 KIKAANGONI FEDHA ZA AFUA ZA LISHE.
0
SHARES
20
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

WAKURUGENZI wa Halmashauri tano ambao hawakutimiza mpango wa utengaji fedha za kutekeleza afua za lishe kulingana na idadi ya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano watakiwa kuhakikisha wanatenga fedha hizo kabla ya Desemba mwaka huu.

RelatedPosts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

Sep 22, 2023

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

Sep 21, 2023

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

Sep 21, 2023
Load More

Maagizo hayo yametolewa leo Agosti 29,2023 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Angellah Kairuki wakati wa kufungua mkutano wa mwaka wa tathimini ya saba ya Utekelezaji wa mkataba wa lishe Nchini.

Amesema Wakurugenzi wa Halmashauri tano za Mpanda DC, Kasulu DC, Mkalama DC, Uyui DC na Lushoto DC ambazo katika mipango yao hawakuzingatia kiasi cha fedha kulingana na idadi ya Watoto chini ya miaka mitano watekeleze maelekezo yaliyotolewa ifikapo Desemba, 2023 wakati wa kufanya mapitio ya bajeti.

Mhe.Kairuki ametoa rai kwa wakuu wa Mikoa kusimamia Halmashauri zao kwa kuhakikisha fedha iliyopangwa kutekeleza afua za lishe zinatolewa kwa wakati.

“Hii inatokana na matokeo niliyo nayo ambayo inaonekana kuwa kiashiria hiki bado hakitekelezwi ipasavyo katika maeneo mengi. Wakurugenzi wa Halmashauri wahakikishe kuwa fedha zinazotolewa zinaenda kutekeleza shughuli zilizopangwa na sio vinginevyo.” amesisitiza Mhe Kairuki

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametoa wito kwa Wataalamu wa afya kulipa uzito unaostahili suala la lishe ili wananchi waone umuhimu wake katika kuchangia mapambano dhidi ya magonjwa na kuleta tija katika maendeleo kwa mtu binafsi na kwa taifa kwa ujumla.

“Ili tuwapunguzie viongozi wajao kazi ni lazima tuwekeze nguvu ya kutosha kwenye eneo la lishe.” Amesema Dkt. Mollel.

Ameendelea kusisitiza lishe sio suala la wajawazito peke yake na watoto, bali hata makundi mengine ni muhimu kupata lishe bora itayosaidia kutunza afya na kuongeza miaka mingi zaidi ya kuishi.

 

#KonceptTVUpdates

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA
AFYA

MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
TOTO AFYA KADI HAIJAFUTWA KILICHOBADILIKA NI UTARATIBU WA KUWASAJILI
AFYA

TOTO AFYA KADI HAIJAFUTWA KILICHOBADILIKA NI UTARATIBU WA KUWASAJILI

by SUZO SHUKRANI
Sep 19, 2023
RAIS SAMIA AZINDUA HOSPITALI YA KANDA KUSINI, AKISISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA NA LUGHA NZURI.
AFYA

RAIS SAMIA AZINDUA HOSPITALI YA KANDA KUSINI, AKISISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA NA LUGHA NZURI.

by SUZO SHUKRANI
Sep 15, 2023
BARAZA LA TIBA ASILI LIIMARISHE SHERIA ILI KUONDOA DAWA ZA ASILI ZISIZOFAA KATIKA JAMII
AFYA

BARAZA LA TIBA ASILI LIIMARISHE SHERIA ILI KUONDOA DAWA ZA ASILI ZISIZOFAA KATIKA JAMII

by SUZO SHUKRANI
Sep 15, 2023
WAZIRI UMMY ATOA MIEZI SITA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA SONGWE
AFYA

WAZIRI UMMY ATOA MIEZI SITA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA SONGWE

by SUZO SHUKRANI
Sep 14, 2023
TUNDUMA YAPONGEZWA KWA KUAJIRI WATUMISHI WA AFYA WA MKATABA
AFYA

TUNDUMA YAPONGEZWA KWA KUAJIRI WATUMISHI WA AFYA WA MKATABA

by SUZO SHUKRANI
Sep 13, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In