ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

KILIO CHA WANANCHI UHABA WA MAJI SAFI

Dar es salaam

HIJA SELEMANI by HIJA SELEMANI
Aug 3, 2023
in HABARI
0
KILIO CHA WANANCHI UHABA WA MAJI SAFI
0
SHARES
53
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Wananchi wa tarafa ya Naipanga, wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi wamelalamika kwa muda mrefu kutokana na ukosefu wa maji safi na salama. Ingawa wamekuwa wakilalamika mara kadhaa kuhusu suala hili, serikali imeshindwa kutatua tatizo hilo.

RelatedPosts

HISTORIA YA KIHISTORIA: UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA PAPU TANZANIA

HISTORIA YA KIHISTORIA: UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA PAPU TANZANIA

Sep 4, 2023

MMAREKANI MWEUSI WA KWANZA KUSAFIRI SAFARI ZA ANGA ZA NJE

Aug 30, 2023

FAHAMU MABADILIKO YALIYOFANYWA NA RAIS SAMIA SERIKALINI

Aug 30, 2023
Load More

Wakizungumza katika mkutano na uongozi wa Wilaya ya Nachingwea, katika Kata ya Chiumbati Shuleni, Kijiji cha Chiwindi, wananchi wamesema suala la maji limekuwa kero kubwa kijijini hapo. Wanapoteza muda mwingi kutafuta maji na hali hiyo inawaathiri kwa kuacha shughuli zingine, ikiwa ni pamoja na shule na nyumba za ibada.

Kila kijiji katika Tarafa ya Naipanga, kuna kirula kimoja kilichojengwa na Mamlaka ya Maji wilayani Nachingwea, lakini kirula hicho hakitoshi na maji hupatikana kwa nadra. Wananchi wamelalamika kuwa maji hukatika kwa muda mrefu bila taarifa ya ubovu ama matengenezo.

Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Masasi – Nachingwea (Manawasa) kuacha kufanya kazi kwa mazoea na kutoa taarifa ya ubovu au marekebisho.

Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini wanakiri kuifahamu kadhia hiyo ya maji katika Tarafa ya Naipanga, lakini bado changamoto kubwa ni kukosekana kwa vyanzo vya maji kijijini hapo. Serikali inahitajika kufanya juhudi zaidi ili kutatua tatizo hili la maji.
#KonceptTvUpdates
#Nachingwea

Related

Tags: DAR ES ASALAAMLINDIMAJIUTUNZAJI WA MAZINGIRA
HIJA SELEMANI

HIJA SELEMANI

Related Posts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA
HABARI

DR KONGO YATAKA MONUSCO KUONDOKA HARAKA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA
HABARI

HAIER TANZANIA NA AZAM TV WAUNGANA KUKIWASHA KWA PAMOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA
AFYA

MNH YAFANYA UPASUAJI WA KWANZA TUNDU DOGO MOJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST
HABARI

SBL KUUNGANISHA TAMADUNI KUPITIA OKTOBA FEST

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO
HABARI

TAWA YATAKIWA KUJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In