ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

KKKT YAUNGA MKONO UWEKEZAJI WA BANDARI

By Shukran Suzo - Aug 22, 2023

SUZO SHUKRANI by SUZO SHUKRANI
Aug 22, 2023
in HABARI
0
KKKT YAUNGA MKONO UWEKEZAJI WA BANDARI
0
SHARES
36
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

 

RelatedPosts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

Oct 2, 2023

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

Oct 2, 2023

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

Oct 2, 2023
Load More

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo amesifu hatua ya Rais Samia kukaa kimya dhidi ya kauli zinazotolewa kupinga mkataba huo. Ameeleza ni imani yake kuwa, ukimya huo hauna maana ya kutofanyia kazi kinachopendekezwa, bali inahitajika hekima ya kuliendea jambo hilo na kwamba muafaka utapatikana.

 

Ameyasema hayo jijini Arusha Jumatatu Agosti 21, 2023 wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya kuanzishwa kwake mwaka 1963 baada ya muungano wa makanisa saba ya Kilutheri Tanzania.

Katika hotuba yake hiyo, Askofu Shoo ameeleza uwepo wa hali inayokaribia kuligawa taifa, wengine wakitumia sababu za kidini, wapo wenye maslahi yao ya kisiasa na yale ya kiuchumi.

 

“Nashukuru Mungu amekujaalia hekima kama mama na kiongozi umekaa kimya lakini kimya chako hicho sio kwamba hufanyii kazi, mimi nasema jambo hili linahitaji hekima kubwa ya kuliendelea na sisi tunakuombea kwa Mungu ili heshima yote itumike ili kuliendea jambo hili ili muafaka upatikane,” amesema Askofu Frederick Shoo.

 

Kauli hiyo ya Askofu Dk. Shoo inakuja wakati ambapo Kanisa Katoliki lenye waumini wengi zaidi nchini Tanzania, kutoa waraka wa kupinga mkataba huo wa bandari, ambao hapo jana Jumapili ulisomwa kwenye makanisa yote.

Ingawa katika hotuba yake, Askofu Dk. Shoo hakuutaja moja kwa moja waraka huo wa Kanisa Katoliki, lakini ameonekana kupingana nao, na kumtaka Rais Samia kuwa mvumilivu na mwenye busara katika kushughulikia maoni ya watu kuhusu mkataba huo wa Bandari.

Rais Samia aliyekuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo amepongeza ushirikiano miongoni mwa taasisi za dini na serikali ya Tanzania na kuahidi kuuendeleza na kuwa tayari kushauriana na viongozi wa dini na madhehebu zote.

 

Related

SUZO SHUKRANI

SUZO SHUKRANI

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2023
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In